Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Nianze kwa kisema.., Vyakula vya mbegu kama maharage, karanga, njegere, korosho na vyakula vya protein(nyama, samaki, kuku) ni malighafi za kiwanda cha kutengeneza nguvu za ajabu..... Hii ni...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Jamii, Naombeni mnijuze eti mwanamke akiwa na mimba ya wiki 28 anaweza safiri zaid ya km 600? au je ni mimba ya muda gani /mwisho muda gani kuwa salama kwa safari ndefu?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Msaada tafadhali. Nimekuwa nikipata maumivu ya miguu hasa nikisimama bila movement, ila nikikaa au kulala sisikii maumivu yoyote. Tatizo linaweza kusababishwa na nini na matibabu yake yapoje.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu yangu mwenye umri wa miaka 19 anatatizo la kuwa na Kitovu kikubwa, akaulizia kwenye maduka ya madawa asili akaambiwa dawa yake itakuwepo ila akaulizie jina la hiyo dawa kwa wataalam wa dawa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu humu ndani? Poleni Na majukumu, Mm nina tatizo naombeni msaada nimetokewa na kauvimbe kadogo kama size ya harage shingoni chini ya sikio upande wa kulia umekaa kama wiki 3 ulikuwa...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Habar za muda Great Thinkers, poleni na misukosuko ya hapa na pale. Naomba kuuliza hili swali kwa wataalamu wa afya au yeyote anaejua. Hivi kichwa kinapouma ni vitu gani ndo huwa vinauma ndan ya...
0 Reactions
0 Replies
842 Views
Ndugu zangu poleni na majukum. Ndugu zangu nimekuwa na tatizo moja limenianza lina miezi miwili sasa tatizo lenyewe ni kuwa nimekuwa nikihitaji kumuingialia kimwili girl friend wangu nikivaaa tu...
3 Reactions
93 Replies
11K Views
Habari wakuu, Nimekua na aleji ya muda mrefu hasa kwa baadhi ya vitu kama sabuni zenye marashi makali,Perfumes,Mafuta ya kupaka,vumbi.na hata sehemu nikipita pana harufu kali kama uvundu au...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nina mpenziwangu tuna miaka 4,tunapendana sana ila tatizo linakuja kwenye mambo yetu yale mpenzi wangu amejaliwa muonekano mzuri sana,mrefu na afya njema ila jamani tatizo tukiwa faragha,uume wake...
0 Reactions
43 Replies
10K Views
Habari za muda. Naomba kujua sababu ya mafua ya mara kwa mara pamoja na tiba yake. Ahsante.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habar za humu, Jumatatu ya wiki hii alfajir ghafla nilibanwa na kichom upande wa kushoto juu kidg ya kiuno ilikuwa n mara ya kwanza na maumivu yalikuwa makali hayana mfano mpks nikaenda kulazwa...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Nipo dar nahitaji kufanya kupima afya kwa kutumia bima ya afya NHIF. Unamwambia Dr unataka kupima afya tuu au unalist idadi ya magonjwa unayotaka kupima? Hospital ipi ina utaratib mzur wa kupima ?
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Naombeni kufahamu uzuri na ubaya wa damu Group O wadau, karibuni.
0 Reactions
27 Replies
22K Views
Natokwa na jasho mda wote mchana na usiku, miguu inakufa ganzi na inaniwaka moto naomba msaada juu ya tatizo hili
0 Reactions
26 Replies
6K Views
Tafadhali naomba msaada wa nini yaweza kuwa sababu ya kupata vichomi miguuni na yanayoweza kuwa matibabu ya tatizo hill. Asanteni.
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Wakuu naomba mnisaidie nijue nini kinasababisha uume kusimama kila mara bila kichocheo chochote. Pia nina tatizo la kuumwa na korodani. Je kunasababishwa na nini? Asanteni
2 Reactions
14 Replies
22K Views
Habari za leo wakuu, Sasa hivi yapata kama mwezi mmoja umepita niliamka asbh nikakuta kidole cha kati mkono wa kulia kinauma design kama kinachoma au kama kinawasha. Nikikibinya hakina maumivu...
1 Reactions
1 Replies
7K Views
Nina mtoto wa kiume ana miezi mitano awali kina mama moja wa mtaani aliniambia ulimi wa mwanao haunyanyuki hivyo akatwe kidogo ili asiwe bubu. Lakini huyo mama nikampuuzia nikampeleka hospitali...
1 Reactions
11 Replies
13K Views
Kama una smart phone bna huna haja ya kuogopa tena Install application ya period tracker inakuonesha kila kitu Siku safe kusex Ovulation day Siku ngapi zimebaki upate period etc Yaani...
6 Reactions
42 Replies
11K Views
http://jukwaalaafya.ml/2018/03/26/zijue-dalili-za-mwanamke-aliye-katika-kipindi-cha-hatarifertile-period/
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom