Dr. Mmoja wa saikolojia kutoka Paris Ufaransa anaejulikana Kwa dr. Smith Aley kamshauri mteja wake anyoe nywele zote sehemu za siri kutokana na mteja wake kusumbuliwa na stress na kuonekana mtu...
wataalam wa mambo ya afya naomba ufafanuzi juu ya ya tatizo ya mimba kutunga nje ya kizazi
kuna wanawake wawili kwa wakati tofauti wanapata ujauzito alafu unatungia nje ya kizazi tatizo ni...
Nikiwa nafanya sex mara nyingi bao la kwanza huwa natumia dakika 46 but nikiwa round ya pili utakuta katikat ya game jogoo anasinzia mpaka nipumzike kidogo tena ndio mpango mzima sasa ni nini tatizo?
Nini sababu ya urethra infections na tiba yake ni nini? Maana my urethra is rough na tiba ya UTI nimepata lakini bado nahisi kama maumivu wakati wa kukojoa. Nikiwa sikojoi nasikia kamuwasho kidogo...
Hi guys.
Ni shida,hakunaga ugonjwa wa afadhari hata mara moja,ukiumwa jino utasema bora kuharisha, sasa siku ukiharisha kiasi cha wenzako wamelala wewe usiku wako unamalizia chooni utasema bora...
Nimekuwa nikisikia uwezo wa tunda la tikiti maji katika kuhimalisha afya ya mwanadamu, lakini hivi majuzi jamaaa yangu kanieleza uwezo wake wa kuimarisha ndoa katika kutoa nguvu za kiume.
Mwenye...
Wengine mnafahamu kuwa ulaji wa vyakula vya wanga kiwango cha sukari katika mwili kinaongezeka. Kama mwili unazalisha insulin vizuri chembe hai zinauwezo wa kuchukua sukari hii na kuigeuza kua...
Wapo baadhi ya wanawake ambao wamewahi kupata dalili na viashiria vya ujauzito pamoja na kupimwa kipimo cha mkojo na kuthibitishiwa kuwa wana ujauzito lakini baadaye wakabaini kuwa ujauzito haupo...
Shisha ni uvutaji wa tumbaku uliochanganywa na ladha za matunda mbali mbali kwa kutumia hookah. Hookah ni chombo kinachohifadhi maji na huwa ina mirija kuanzia eneo lakuchoma tumbaku kupitia maji...
Njia zinazosaidia ukuaji wa mifupa ya watoto
1. Vitamin A, D na C na madini ya kalisi, chuma na fosforasi ni virutubisho muhimu vinavyosaidia ukuaji wa mifupa ya watoto. Maziwa ya ng’ombe, mayai...
Wakuu najua mko poa.
Kati ya taaluma nyingi duniani nadhani hii taaluma ni muhimu kuliko hizo nyingine zote hapa duniani kama si ulimwenguni kwa ujumla. Lakini acha niseme ukweli...
Nimekuwa katika mahusino na binti moja. Katika romance jogoo husimama ipasavyo. Shida ni pale ninapotaka kuingia jogoo analala, na mchezo huishia apo. Tatizo nini? Nifanye nini nami nienjoy...
Kwa takribani miezi sita sasa nimekua na tatizo lakustuka stuka nikiwa usingizini.Mwanzo nilihisi kama naota lakini ilitokea nimelala na mtu ndipo amenieleza ninavyokua.
Hua mwili unakakamaa kwa...
Habari wana jf wenzangu??, heri ya sikukuu ya eid kwa waislamu wenzetu.
Kuna tatizo linanitatiza kidogo kuanzia leo usiku ambalo limempata mke wangu
Mke wangu ni mjamzito wa mwezi mmoja...
Mim ni msichana nimeolewa huu ni mwaka wa 3 kwenye ndoa ! Tangu nilolewa nimepata 1miscarriage 1 ikiwa na miezi 3! Nikapata tena ujauzito bt mtoto akafia tumboni miezi 8!; toka hapo nina mwaka ss...
Nmekua nkifanya masturbation tangu 2012. Sasa hivi umme wangu umekua dhaifu sana siwezi hata kupiga mchezo wa dakika 5.. Nahitaji msaada wakuu.. kuna dawa gani naweza tumia??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.