Wapendwa herini ya krismas
Naombeni msaada kwa yeyote anayejua mimi nilijifungua leo ni siku ya kumi na nane na uchafu bado unaendelea kutoka je kuna tatizo kiafya?
Wakuu niko kwenye mtihani mkubwa ambao sijui chanzo chake ni nini!
Nimepatwa na tatizo, nakosa msisimko wa kugegeda kwa muda wa miezi miwili sasa, Leo nilikuwa na demu hata yeye akanishangaa na...
Habari zenu wanaJF!
Nimekuwa msomaji wa topic za wengine kila mara na mimi leo nimekuja kuomba ushauri!
Kuna mchepuko nilichepuka nao baada ya siku tatu kupita nimepata tatizo la kupata maumivu...
Kichwa cha habari hapo juu cha husika Wakuu hivi kuna wale wenzetu walemavu wanakua kama wamevimba Mgongoni inakua kama kibwongo hivi napenda kujua hivi wanaweza wakabeba mimba na kujifungua...
Kichwa cha habari hapo juu cha husika Wakuu hivi kuna wale wenzetu walemavu wanakua kama wamevimba Mgongoni inakua kama kibwongo hivi napenda kujua hivi wanaweza wakabeba mimba na kujifungua...
Habari wanajamvi,
Naomba kwa wale wataalamu wa masuala ya kujamiiana wanisaidie kunielemisha kuhusu muda unaotakiwa kuchukua unapofanya tendo la ndoa .
Je imeandikwa wapi na sababu zake ni nini...
Hi jf!
I am ISSA. One of jf members. The heading above is my problem. I have been suffering with ulcers since 2012 but currently the problem seems to be chronic as I started to experiences some...
Heshima kwenu wataalamu wa jukwaa hili!
Baada ya salamu mimi ni kijana bado sijaoa, nina mpenzi na nimedumu naye about 2years now...ni mzuri wa sura, umbo na tabia!
Ni mwanaharakati mzuri...
Imekuwa ni hatari sana kwa baadhi ya watu wengi tukisumbuliwa na sukari, hii yote husababishwa na lishe tunazozipata ambazo mara nyingi huwa na kemikari (chemical) ambazo huenda kuathiri kongosho...
Mimi sio mdau sana wa hili jukwaa ila leo nimekua nikipita huku na nimeona mada ambazo zimewekwa humu na ambazo pia kwa namna moja au nyingine zimechangiwa sana ama kusomwa sana ni pamoja na hii...
Habari wanaJF,
Naomba msaada na wiki sasa naharisha na nikitaka kula tu tumbo linauma nikila au kunywa maj linauma na nikiinama pia.
Hivi tatizo nini naomba ushauri wenu ila hosptal nilienda.
Habarini Za Majukumu Wakubwa? Ninaomba Msaada Wa Kitabibu. Nimekuwa Na Shida Ya Sikio Moja Kuziba Mara Kwa Mara Kwa Nta.
Nimesafishwa Mara Tatu Sasa Hospital Kwa Njia Irrigation. Naomba Wadau...
Wadau nina mtoto ana mwaka mm o j?? na nusu ni mvivu sana wa kula.. Ikifika muda wa chakula ni ugomvi.. Hata afya yake imeanza kudhoofu.. Nitashukuru kwa Msaada wa mawazo.
HABARI wakuu
Naombeni USHAURI, nina mpango wa kupanda mlima kilimanjaro, this holiday season.
Tatizo mpenzi wangu ana ujauzito wa miezi 2. Je Kuna madhara yoyote? Maana kasema hawezi rudi...
Habari zenu? jamani naombeni msaada wa kujua dawa ya ugonjwa wa ngozi sehemu za siri hasa ukitumia dawa unajirudia nishaenda hospital hadi nimekata tamaa msaada tafadhari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.