Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

MPENDWA SOMA LINK HII NI MUHIMU SANA KARIBU UBORESHE AFYA YAKO | Arusha | Kupatana
0 Reactions
0 Replies
878 Views
Habari wakuu,! Naomba kufafanuliwa hapa kwamba, hivi mirija ya uzazi ya mwanaume ikiziba haiwezi kuzibuliwa,? Na nini kinachosababisha kuziba kwa mirija ya mwanaume?. Maana sister yangu ana mme...
0 Reactions
6 Replies
8K Views
BRAIN CANCER UGONJWA WA SARATANI KANSA YA UBONGO Kupambana na ugonjwa huu ni vigumu na unatisha.Kuna aina nyingi ya saratani jambo linalofanya kuwa gumu kukabiliana nao. Saratani ya ubongo...
0 Reactions
0 Replies
14K Views
Ni mara ya nne sasa mama anaenda hospital. Tatizo kubwa ni mkono wa kushoto kuuma, maumivu huanzia usawa wa uti wa mgongo. Kuna kitu kinatembea ama kinahamahama na yenye maumivu makali kiasi cha...
0 Reactions
2 Replies
920 Views
Habari zenu ndugu zanguni, natumai ni wazima, Nina ndugu yangu alikua na Malaria lakini kabla ya kwenda kucheki alikua anajiskia vibaya (kichefuchefu kizunguzungu) tukahofia isije ikawa mimba...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
i. Kutokojoa mapema mkojo uki kushika ii. Kuto kunywa maji ya kutosha iii. Kula chumvi nyingi sana kwenye chakula. iv. Kutokujitibu magonjwa ya...
4 Reactions
24 Replies
10K Views
Habari za muda huu wakuu? Nahitaji kupata data za idadi ya watu wanaofanya x ray kwa mwaka, (hapa Tanzania/ worldwide, hospitali yoyote) kama kuna mwenye data kamili ningeshukuru zaidi...
0 Reactions
1 Replies
980 Views
Eti kuna dawa ya kutoa chale zile za mgongo au sehemu nyingine ya mwili?
0 Reactions
30 Replies
32K Views
Mwenye uelewa kuhusiana na mada tajwa halo juu!
0 Reactions
1 Replies
15K Views
Habar zenu... Naomba kuuliza Kwa mwenye ujuzi anisaidie nini madhara ya ultrasound Kwa mama mjamzito?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wanajamvi!, Ninafahamu kwa ujumla kuwa asali ni chakula na pia ni dawa. Lakini hapo kwenye kipengele cha chakula ndipo ninapohitaji ufafanuzi kwa maana ya matumizi sahihi. Kwani katika...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Nauliza hili kwa kuwa katika mafuta mengi ya kujipaka huwa yameandikwa, pamoja na mambo mengine, 'for external use only'. Sasa utakuta sisi watu huwa tunachukua mafuta hayo, mathalan rays, baby...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
he bottom of your feet are powerful and direct access points to internal organs in your body through what is known as meridians. These meridians are pathways to each organ with your body. Some...
3 Reactions
21 Replies
14K Views
Habari wadau wa JF. Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikisumbuliwa na maumivu makali ya kwenye mbavu hasa kikifika kipindi cha baridi,nilivyokuwa dar haikuwahi kunitokea,sasa nimepangiwa kazi Mbeya...
0 Reactions
7 Replies
11K Views
Chukua maganda ya malimao changanya na iliki paamoja na pilipili manga kisha weka mchanganyiko huu ktk sufuria yenye maji kiasi kisha chemsha kwa dakika 10 na dawa itakua tayari. JINSI YA...
0 Reactions
12 Replies
27K Views
Wanascience wako kwenye hatua za mwisho wa kuuhalalisha mmea huu kuwa dawa na suluhisho la matatizo ya kansa na uvimbe katika ubongo na hata matiti. Wanasema zina kemikali...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Nimekua nikijiuliza sana hili swali bila kupata majibu yenye mashiko... Na Leo asubuhi nikiwa napita kwenye jengo la CCM makao makuu nimekutana na mdada ambaye kwa kumwangalia anaweza akawa...
0 Reactions
12 Replies
9K Views
WAKATI dunia ikipalangana kutafuta dawa ya kutibu ugonjwa wa Ukimwi, imeripotiwa kubainika kwa vimelea vipya vya ugonjwa wa Kisonono, ambavyo havisikii dawa za ugonjwa huo zilizokuwa zimezoeleka...
2 Reactions
1 Replies
3K Views
ziko sababu nyingi zinazoweza kusababisha hali hii ya kutokea kwenye kinywa, lakini chanzo chake kikubwa ni maradhi yanayosababishwa na fangasi. Maradhi ya fangasi ya kinywa huweza kuathiri koo...
0 Reactions
1 Replies
20K Views
Jamaa ni ME. Anasema usiku kwake ni shida tupu. Kila mara anapojaribu kulala anahisi kuzingirwa na hali fulani inayoambatana na joto la kiwango fulani na kisha anahisi kuingiliwa sehemu za haja...
0 Reactions
13 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…