Habari wana JF.
Naombeni mnisaidie kubaini tatizo nililo nalo. Nimeamka asubuhi nikigusa chuchu yangu ya kushoto nahisi maumivu na kama dalili ya uvimbe.
Je inaweza ikawa dalili ya ugonjwa gani...
Amani ya bwana iwe nanyi
Naomba kujulishwa mda wa doctor kuingia kazini asubuhi au kuanza kazi zake ni saa ngapi ili niweze kuwashughulikia madaktari wa hospitali ya mkoa wa Ruvuma
Madakitari wa...
Habari zenu wanaJF,
Naombeni nijue maana ya hicho kipimo cha sukari kwenye damu, kuna ndugu kapima kapata hayo majibu dactari mmoja kasema iko chini sana na mwingine kasema ni ndogo sana...
Mimi ni mjamzito nilikuwa nasikia dalili za UTI nilipoenda kupima nikaambiwa ninayo.
Nikaandikwa Amoxillini nilipomaliza hiyo dose nilikaa siku moja mwili wote ukawa na vipele.
Nikarudi...
Habari zenu,
Kilichonileta hapa ni kutaka ufafanuzi kama niko na tatizo au ni kawaida. Tukija katika mapenzi kwa upande wangu huwa napata hamu kubwa sana isiyo ya kawaida.
Ute unatoka kibao...
NIMEGUNDUWA FAIDA MPYA YA ASALI NDANI YA MWILI WA BINADAMU
Asali kama tujuavyo ni dawa nzuri kwa binadamu haswa utakapo tumia ukiwa mzima au mgonjwa itakusaidia kukutibu na
haina madhara kwa...
FAIDA 10 ZA KULA MATANGO NA MATIKITI MAJI
Ulaji wa matango na matikiti maji husaidia kuboresha kiwango cha maji ambayo huitajika mwilini, hii ni kutokana na matango kuwa na kiwango kikubwa cha...
Ndugu wana JF habari za leo.
Mwenzenu nina tatizo la kiafya sipati haja kubwa kabisa. Ninachukua hadi siku 5 ndo napata hali ya kwenda haja kubwa lakini nikienda hata sipati haja nzuri sometimes...
Nina mpenzi ambae nimeshafanya naye mapenzi nae zaidi ya mara nne, ila kwa sasa amekuwa hataki kufanya mapenzi nami, akidai kuwa anaumia pindi anapofanya mapenzi, ninapomueleza basi tuachane...
mtoto wangu ana miezi Tisa, ameshaanza kuota meno ya juu,,,,, ya chini yameshaota kama mwezi umepita ila kwa Siku tatu sasa amekua akiharisha na usiku analia lia mno. Je tatizo hili ni la mpito...
Je ni kweli kwamba ejaculation kwa mwanaume inasaidia kupunguza uzito? kama ni kweli ni kwa kiasi gan per single ejaculation?
je a single ejaculation ni sawa na kukimbia kwa umbali gani?
msaada...
habari waungwana
nataka kuconcieve,mzunguko wangu ni wa 28 to 29 days,nimeanza mp tar 22 mwezi wa 5 ambayo normal ni 4 days
sasa basi mwenye kujua anijuze ni duu tarehe ngapi ili ninase?
asanteni.
Habari wakuu,!
Aise mimi sijui kama ni tatizo au la, uume wangu huwa unasimama kila mda hata kama nikitoka kufanya mapenzi na GF wangu yani bado ndo kama nimeuchokoza na nikiona msichana kaachina...
Wakuu heshima kwenu.
Kama MTU alikuwa mnywaji wa pombe wa kiwango cha kati na ameacha.je mwili wake mfano utumbo, ini,figo utakuwa umedhurika. Je apate diet ipi au ale vyakula gani sana kuondoa...
Mwakilishi wa Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Kinga Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Cosmas Swai, akizindua kampeni mpya ya kuhamasisha Faida na Matumizi ya Uzazi wa Mpango jijini Dar es...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.