Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Nini hasa sababu na chanzo chake? Na tiba yake ni nini? Naomba msaada tafadhali.
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Habari za jumapili? Ni matumaini yangu kuwa mu wazima wa afya, mkiendelea kusukuma gurudumu la maisha. Kama kichwa cha thread kinavyojieleza, leo nataka kushea nanyi juu ya jambo hili; upara/upaa...
1 Reactions
28 Replies
22K Views
Salam kwenu wana jf. Jamani mimi nina tatizo la kuumwa kichwa sana nimekua mtu wa kutembea na kiboksi cha panadol,nimepiga xray ya kichwa lakini sina tatizo ila naumwa sana sana kichwa. Kama...
0 Reactions
21 Replies
8K Views
Habar wanaJF, Nina tatizo la kukaukiwa mate usiku nikiwa nimelala na kusababisha ulimi kuwa mkavu sana na kukakamaa hivyo nikishtuka toka usingizini hali hiyo inanitatiza sana na kinywa huwa...
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Naombeni msaada ndugu zangu, meno yangu upande mmoja umekumbwa na ukakasi zaidi ya wiki mbili sasa. Hii ni nini na je kuna tiba ya hili tatizo?
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Habar zenu, Jamani mimi na tatizo nikijisaidia haja kubwa inatoka na damu siku ya 2 sasa na sina jeraa lolote. Naombeni msaada wenu wa tiba au ushauri maana cjui inatokana na nini.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Karibuni Wana Jamvi waliopata ajali hii.Siku izi VVU ni kama magonjwa mengine ambayo yanaitaji kuwa kwenye dawa through out your life.Kwangu binafsi magonjwa ambayo nayaogopa yanatisha kuliko ni...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habar zenu, Nina rafkiangu anasumbuliwa sana na tatzo lakutokwa na vipele aina ya uvimbe ukeni, juu ya mashavu ya uke. Nitatizo ambalo linamsumbua takriban mwaka sasa kila dawa za hospital...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za saa hizi wana JF. Naomba kwa yeyote anaejua dawa ya mtoto wa miezi kumi anatoa udenda. Kuna mtu aliniambia nichukue kitumbua nikipake ule udenda halafu nimpe aidha Shangazi au Mjomba...
0 Reactions
4 Replies
9K Views
Wakuu naomba msaada wa tatizo hili nililonalo mara nyingi nikitembea umbali wa kilomita 3 mwili wangu hasa sehemu ya mapaja na nyuma ya magote huwa yanawasha sana ambapo huwa najikuna sana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari, Mtoto wangu ana miezi 7 tangu nimemzaa kwenye matiti yake kuna vitu vigumu kwa ndani kama mtoto anaeanza kuota maziwa, Ni wa kike sasa sielewi ni kawaida au kunatatizo?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Healthy Vaginas A healthy vagina is as clean and pure as a carton of yoghurt Now there's a statement to combat some of the negative messages we have received about our nether regions...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Ninaumwa sikio nimetumia dawa za hosipitali siponi, Naomba kujuzwa dawa za asili wana jamii.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habar wadau, Nasumbuliwa na tatizo la mdomo kupauka sana na kuanza kupasuka pasuka kwenye lips kiasi kwamba ninapokula hata baadhi ya matunda kama nanas na chungwa napata sana tabu...
0 Reactions
9 Replies
18K Views
Jamani Wana Jf Naomba Mwenye Kujua Apa Saongea Ni Hospital Gani Au Maabara Gan Wana Kipimo Cha Typhod Make Peramiho Na Hospital Ya Mkoa Awana. Naomba Mnisaidie Nataka Kupima Typhod.
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Huku mkoani kwetu MTWARA kuna hawa wamarekani wenye kampun ya USAID, wamejikita kwenye sekta mbalimbali. Moja ya wizara wanayoifanyia kazi ni pamoja na afya. Hivi karibuni walikuwa na zoezi la...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani kwa wataalamu naomba ushauri wa kitabibu, Kuna binti alikuwa anasikia maumivu ya kiuno akaenda dispensary daktari akamchoma sindano (siikubuki jina) akampa na dawa za kutuliza maumivu...
0 Reactions
32 Replies
7K Views
Habari wana JF, Naomba msaada tafadhali. Nimekuwa na tatizo la makovu kwa muda mrefu. Makovu haya yalitokana na vidonda nlivyokuwa napata nikiwa mdogo kutokana na allergy. Haya makovu yamekuwa...
0 Reactions
4 Replies
8K Views
Wadau, Nilianza kujichua toka nikiwa form one yaani nilionza tu naona kabisa kujichuani zaidi ya kufanya mapenzi.Hata nikifanya mapenzi lisaa kupizinachukua kama limoja hivi na huwa sipati raha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimepima malaria mara nyingi kwenye hospital naambiwa sina malaria lakini kichwa kinauma sana,ndugu zangu naomba ushaur wenu
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom