Kuanzia leo nitakuwa natoa ushauri wa kiafya kwa wenye shida na matatizo mbalimbali ya kiafya kupitia uzi huu kwa kadri ntakavyokuwa napata nafasi. Karibuni sana
Jamani mi ni msichana lakini sauti yangu ni nzito saana kiasa kwamba hata nikiongea na simu mtu anaweza akafikiri kapokea mkaka naombeni mnisaidie nifanyaje niweze kulainisha sauti yangu.
Hapa mtaani kwetu wamekuja jamaa flani si vyema kuwataja jina ila wana Mobile Clinic. Wanasema wana mashine ambayo haihusishi kutoa damu, yani unaweka mgono tu inafanya full body checkup...
Wasalaam,
Kuna nyuzi nyingi zipo jukwa hili za matatizo ya nywele na watu wanasaidiwa vizuri,kwangu mimi shida yangu ni mwanangu ananywele karibia uso mzima. Nimejitahidi kumtinda mara nyingi...
Mamlaka ya Chakula na Dawa nchini Tanzania (TFDA) imefuta usajili wa aina tano za dawa za binadamu na kuamuru ziondolewe sokoni na vituo vyote vya kutolea huduma za afya mchini kote mara moja...
nimtumiaji wa bluband sio sana ila naona imeniletea aleji flani hivi
nimetokwa na uvimbe kama jibu karibu na dushe pale kwenye bustani kwa pembezoni
nini athari yake na dawa maana linaninyima...
Salaam wanajamii,
Nimekuwa na tatizo almost ni mwezi sasa kila ninapolala nahisi kupoteza fahamu.Hali hii hutokea kama ndoto lakini na uhalisia na baada ya muda fahamu hunirejea. Je, linaweza...
naomba kufahamishwa kisonono baridi ni nini kwasababu ukipita mitaani mabanda mengi ya Dawa za asili yanaorodhesha kisonono baridi kama miongoni mwa magonjwa wanayotibu. Hiki kisonono baridi...
Poleni wanajamvi!nina shida moja nataka kujua hivi mtu kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa ni ugonjwa au ni nini?kama ni igonjwa dawa yake ni nini?
MSAADA INAHITAJIKA HARAKA,NDOA YAWEZA VUNJIKA...
Habari zenu wakuu.
Wakuu naelewa wazi kabisa kwamba mwanaume halisi kikawaida ni lazima atokewe/awe ana erect asubuhi asubuhi anapoamka.
Ila kwangu sasa nahisi utofauti kidogo, jamani hii...
Jifunze kuogelea, upunguze kitambi na mafuta yaliyozidi mwilini. Tengeneza tambo sita(six packs). Na upunguze hatari ya kupata maradhi kama saratani, kisukari,pamoja na tatizo la kuwa na uwezo...
Naona hapa ndio nitapata muafaka,nimepata kusikia utumiaji wa maini ya wanyama kama mlo una madhara kwa binadamu,je hii ni kweli? Huko nyuma ilikuwa ukimuwekea mpenzi wako order ya maini buchani...
WATAFITIi wa nchini Israel walibaini kuwa, mtu anayekunywa chai mara kwa mara ana uwezo wa kuishi muda mrefu tofauti na yule asiyependa chai.
Aghalabu maisha ya mwanadamu yeyote yule yapo...
Habari za humu ndani wana jf.. mwenye uelewa tafadhali naomba anisaidie.
Nina rafiki yangu wa kike amechomwa Sindano kwenye kiuno chake juu kidogo ya Makalio yake, huwa naangalia sana ile sehemu...
Habari za humu ndani wana jf.. mwenye uelewa tafadhali naomba anisaidie.
Nina rafiki yangu wa kike amechomwa Sindano kwenye kiuno chake juu kidogo ya Makalio yake, huwa naangalia sana ile sehemu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.