Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari zenu wana-Jf Doctor,. Mimi ninasumbuliwa na uchovu wa kila wakati, iwe asubuhi, mchana au jioni mwili wote unakuwa na maumivu yasiyoisha!! Nimeshafanya vipimo vya x-ray mara kadhaa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ni miaka zaidi ya minne sasa nasumbuliwa na fungus wa miguu, nimetumia dawa kibao ikiwemo vidonge na tubes za kupaka lakini huwa napata nafuu tu wakati nikitumia dozi baada ya hapo tatizo...
0 Reactions
14 Replies
24K Views
Kuna mshikaji mmoja besti yangu mmoja naonaga anabonge la tege yaani zile zakuingia ndani nilimuuliza akaniambia hizo tege zimemuanza miaka ya karibuni madaktari nisaidieni husabbabishwa na nini...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
kila lenye faida basi halikosi hasara. naomba kujua kama kuna madhara yeyote ya kula asali (honey) maana hii kitu napenda sana na nakula sana.... natanguliza shukrani
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Salam, Tafadhari naitaji kuweka Permanent artificial teeth . Nímetumia denture za kuweka na kutoa naona zina nisumbua , so nataka kuweka mano ya bandia ya kudumu . Nipo dar, tafadhari...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Je baada ya matibabu ulirudi kumshukuru daktari/nurse? Je ulishawaza mupenzio unaemjali, unajali mwili wake na kuuthamini...mara afikapo hospitali nurse anachezea/kutikisa/kuvinjari na kukagua...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu jf member. Naomba kujua kama kuna madhara ya x ray . Thanx
0 Reactions
2 Replies
5K Views
ADOLESCENT PSYCHOSOCIAL CONSULTANCY SERVICES NI WATAALAM WALIOBOBEA KWENYE MASWALA YA PSYCHOSOCIAL NA MATATIZO YAKE 1.KWA VIJANA NA WANAFUNZI WENYE MATATIZO LEARNING DIFFICULTIES 2.HOFU AU WOGA WA...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanajamii tafadhali naomba msaada wenu kwa habari hii ya wapenzi kunyonyana sehemu zao za siri kuna madhara gani hasa? Inawezekana swali hili lishawahi kuulizwa lakini mjue watu wanazaliwa kila...
1 Reactions
45 Replies
14K Views
wakuu naomba msaada kuna mtoto wa miaka 10 anasinzia sana bila kujali mahali na mazingira, nahitaji ushauri wa kumpa tiba huyu mtoto. ananiumiza sana ninapomuona kwani familia haina uwezo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba msaada wadau. nini maana ya nyonga? Kama nitapata hata structure demonstration nitashukuru, coz wanasema mwanamke NYONGA, makalio hata kwa mchina yapo. Seems like something apart from...
0 Reactions
5 Replies
11K Views
naombeni msaada nina maumivu makali ya kiuno siwezi hata kuinama yameanza ghafla tu nimechua nimemeza anti pain ibrofen but haisaidii nashindwa hata kulala nifanyeje dr MziziMkavu nisaidie...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Habar wakuu nisaidieni maana sielewi ni tatizo au nini maana mda niki amka huwa najisikia nimeshba kabisaaa imenpelekea mpka mwili wangu kuwa mwembamba am 22 years old
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana JF....naomba ushauri wa mafuta gani mazuri ambayo naweza kupaka nikawa soft na kubaki na ngozi yangu ya asili bila kubadilika?? Ngozi yangu ni ya mafuta na rangi yangu si nyeupe wala...
0 Reactions
20 Replies
33K Views
habari ,wakuu nimeileta maada hii tujadili maana ni gonjwa linalo ua sana watu wakuu na watoto halichagui,sasa kila mtu atoe views zake apa kwa nini mpaka sasa hakuna dawa,tuseme ndo wameshindwa...
0 Reactions
6 Replies
952 Views
Habari za asbh docs .. am pregnant three weeks now. i consumed metronidazoles ( flagily ) before knowng am pregnant. Currently am.experiencing lower abdominal pain too. Please advice me.. can...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wana JF,poleni na majukumu ya kila cku. Njia gani mwanaume anaweza tumia kuua mbegu asiweze kumpa mwanamke mimba? km wazuiavyo w'ke,je kwa m'me nayo inawezekana? Madr fungukeni mnisaidie...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana JF, Napenda kujua sababu na chanzo kinacho sababisha mama mjamzito kujifungua pre mature yaani kabla ya wakati. naombeni kuuliza
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom