Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Vyakula vya kusaidia kuzuia kansa ya matiti! kuleni sana hivi vyakula akina dada hamutaweza kupata hiyo Kansa ya Matiti. It was scientifically proven that these foods help to prevent breast...
4 Reactions
5 Replies
4K Views
Dr. wa JF Naomba kufahamishwa mimi kila ninapolala pindi niamkapo lazima nipige chafya mara tatu au mara nne. Hii haijalishi nimelala mchana au usiku na kuamka muda wowote. Je hili ni tatizo kiafya?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu ni muda gani huchukua baada ya mwanamke kutoka kujifungua, na kuanza mzunguko wa siku zake?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
A senior doctor has been suspended for his role in the disappearance of a newly-delivered boy-child at the National Referral Hospital Mulago in a case dating back seven years ago...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Heshima mbele wakuu na madaktari wote pande hizo. Huyu ni msichana wa umri wa miaka 28 analalamika kuwa chini ya kitovu panavuta, Wiki moja imepita trh 03/08 alikwenda Muhimbili hosipitali...
2 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari wana JF? Kiuhalisia mi ni mzima wa afya kabisa lakini ningeomba tuzungumzie tatizo linalinikabili. Kwa kawaida huwa siwezi kucheza games za computer zenye movements kama vile need for...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Mara nyingi nimekuwa nikiona threads humu ndani watu wakiulizia unawezaje kuhesabu siku na kujua zile siku za hatari ambazo mwanamke anaweza kushika mimba; naomba leo nitoe somo kidogo...
0 Reactions
13 Replies
19K Views
Wakuu, Naomba ushauri wa kitaalam. Mimi na mke wangu tumejaliwa watoto watatu wote ni wakike. Namshukuru Mungu kwa hilo na nawapenda sana. Natamani kupata mtoto wa kiume pia bahati mbaya mie na...
0 Reactions
18 Replies
28K Views
Mwenye idea yoyote kuhusu huu ugonjwa maana mara nying nahisi mgongo umeshuka pingili flan hvyo mda mwingi nimekuwa mtu wa kujinyoosha ili kuweka sawa(Kuna maumivu kwa mbali). Nina miaka 23...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani nina tatizo la constipation(kufunga haja kubwa)na nilimuda sasa morethan 2 yrz nimejaribu tiba nyingi haijasaidia naona mabadiliko pale tu ninapotumia dawa ila zikiisha tatizo liko...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Tafadhali naomba ufafanuzi, ni kwa muda gani X na Y chromosome zinakaa kwenye sehemu ya uzazi wa mwanamke baada ya kujamiiana na zikiwa na uwezo wa kurutubisha yai la mwanamke likitoka...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
KWA UFUPI Lakini sivyo kwa wengi majuu, kutokana na majira nyanda za kaskazi ya dunia kuwa baridi, mvua ya manyunyu na ukungu robo tatu ya mwaka. Ulimwengu ni kama umekunja ndita kwa hasira...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
wakat wa kuoa ctoangalia tabia,kwan tabia hutokana na mazoea,na mazoea huzaa tabia, nitazingatia zaid mwanamke mwenye sura nzur,Npo sawa wadau au?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mtaalamu wa tiba za mifugo animal health technician anapatikana tegeta,mawasiliano piga 0767538058,huduma hii unaweza kuipata nyumbani kwako
0 Reactions
0 Replies
2K Views
1. Kuna matatizo inatokea mtu anakuwa na vimawe vidogovidoko katika figo zake na mara nyingi mtu huyo hufanyiwa upasuaji kuviondoa. Mimi ninachohitaji kujua ni hivyo vimawe vinaingiaje ktk mfumo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hi members & Guests! As the title would explain, Caligynephobia is the clinical term for an irrational fear of beautiful women. A person may experience Caligynephobia because of personal trauma or...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Mh.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Pamoja na kuonekana kuwa ni fasheni (mtindo) inayowapendeza wanawake wengi na inayopata umaarufu zaidi kwa vijana wengi nchini wakiwemo wasanii, ukweli ni kuwa suruali za jeans na zinazobana...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
kama unachukia makunyanzi jaribu hii dawa yauzwa kwa dollar tano tu na tena ipo ya majaribio ambayo ni bure..............lakini ukiaanza kuitumia ukaacha makunyanzi yanarudi.............siyo ya...
5 Reactions
9 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…