Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Tanzania Inter-bank Settlement System (TISS) ;) mwisho wa kazi siku ya Alhamis ni mchana saa sita mpaka Jumatatu asubuhi; kwa mujibu wa benki fulani. Ukidipoziti cheki ya benki nyingine Alhamis...
1 Reactions
24 Replies
5K Views
Jua ndio kitu pekee ambacho kiko katikati ya mfumo wa jua. Jua ni 99.86% ya uzito(mass) wa mfumo wa jua. Kimsingi jua ni mkusanyiko wa hydrogen na helium, 74.49% hydrogen na 23.8% helium. Joto...
6 Reactions
50 Replies
17K Views
MAHUSIANO YA TANZANIA NA MAREKANI (1) Baada ya ubalozi wa Marekani kutoa taarifa ya kuguswa na hali ya mbinyo wa demokrasia nchini, nimeona vema tufahamu kwa kiasi fulani, mahusiano yetu na...
12 Reactions
24 Replies
5K Views
Umasoni ni chama cha siri kabisa cha Kiyahudi, kimeanzishwa huko enzi za Kiroma sehemu za Aurshalim (Jerusalem) wakati wa ufalme wa Herodus Aghriba baina ya mwaka 37-44 M, aliyekuwa mjukuu wa...
4 Reactions
22 Replies
10K Views
Kuanzia tarehe 26/07/2018 usiku saa 7 hadi tarehe 19/08/2018 sayari ya Mercury inakua inazidiwa kasi na Dunia hivyo sayari ya Mercury kuonekana kama inarudi nyuma lakini kiuhalisia inakua...
2 Reactions
126 Replies
13K Views
Utangulizi Kabla ya kufanya uchambuzi huu wa wazi na kujikita ndani kabisa kuna mambo ya msingi ya kujiuliza kabla ya kuchimba Zaidi, kwanza fahamu kwamba kutafuta ukweli juu ya jamii yako au...
8 Reactions
53 Replies
5K Views
Mh.makamu balozi Inmi Petterson ukweli ni kwamba East Africa INA watu wanaokizi vigezo vya kushinda kuwa wakazi wa Marekani ila ni kama mnapendelea hivi watu was kanda nyingine kama Kusini na...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari za weekend wanajukwaa natumaini wote wazima bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada ya leo. UTANGULIZI Richard sorge a.k.a Ramsay alikuwa jasusi wa urusi ya zamani yaani...
22 Reactions
42 Replies
9K Views
Niamini Mimi si mchawi,wala jini, atakae kuwa amekuchanja Bali Mungu mwenyewe, Hapo yakupaswa kuwa mvumilivu maana utapitia mambo makuu na baadae kufuzu kwa ajili ya kuitumikia jamii Niamini...
2 Reactions
14 Replies
4K Views
Pia kuna nchi zinaitwa latin america lakini ukiangalia ramani nchi inayoitwa Latin haionekani naombeni kujuzwa kuhusu hili wadau mana lugha yao ni moja ya lugha maarufu duniani na vitu vingi...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Naomba kujua zaidi ya nijuavyo maana ya kitu VETTING,naomba nijue zaidi kama vettingi inatoa majibu sahihi kwa Tanzania. Wanasemaga vetting ni kumchunguza mtu kwa ajili ya kuajiliwa kushika nafasi...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Masiku kadhaa yamepita nikiwaza kuandika au kuhoji jambo hili,lakini nikawa nasita. Ila leo hii imenibidi nifanye hivyo,sababu masiku nayo yanazidi kupita. Sayansi imepewa uwezo mkubwa kuliko...
1 Reactions
105 Replies
10K Views
Namanisha wengi wetu tuko na imani tulizonazo @ ni kwa sababu tumezaliwa tukakuta wazazi wanaamini na wakatuaminisha. Imani hizi zimefunga watu wengi kiasi kwamba ni ngumu kuona mbele hata km ni...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Namanisha wengi wetu tuko na imani tulizonazo @ ni kwa sababu tumezaliwa tukakuta wazazi wanaamini na wakatuaminisha. Imani hizi zimefunga watu wengi kiasi kwamba ni ngumu kuona mbele hata km ni...
0 Reactions
1 Replies
671 Views
Habari za mchana wana JF natumaini wote humu wazima basi moja kwa moja niende kwenye mada husika. UTANGULIZI Wakati nasoma biblia nikakutana na mstari huu ambao ulinipa maswali sana Mwanzo 1 6...
15 Reactions
87 Replies
9K Views
Namanisha wengi wetu tuko na imani tulizonazo @ ni kwa sababu tumezaliwa tukakuta wazazi wanaamini na wakatuaminisha. Imani hizi zimefunga watu wengi kiasi kwamba ni ngumu kuona mbele hata km ni...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Naitwa MISHALY SUMARY naishi Kibaha Maili moja, nilikuwa nikifanya kazi katika Hospitali ya Burere kama Muuguzi kuanzia mwaka 2008 mpaka tarehe 26/12/2011 siku ambayo sitaweza kuisahau katika...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakuu!! Mimi ni Mkristo. Tena si yule Mkristo wa kufuata miujiza au wa kufuata mkumbo. Ni mkristo ninayefuata misingi ya maandiko matakatifu kama yanavyosema bila kujali ni nini naamini...
0 Reactions
2 Replies
701 Views
Habari wakuu!! Mimi ni Mkristo. Tena si yule Mkristo wa kufuata miujiza au wa kufuata mkumbo. Ni mkristo ninayefuata misingi ya maandiko matakatifu kama yanavyosema bila kujali ni nini naamini...
0 Reactions
0 Replies
617 Views
Mh.rais tunaomba upeleke wahubiri wa kimataifa ktk kisiwa cha Solomoni Islands, watu Kule wanateseka kwa maagano na mila mbaya,waweza fuatilia mazungumzo yangu kwa njia ya ujumbe na Dada msomi wa...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom