Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Wanatujengea nyumba nzuri sana,wanashinda juani na kula huwa juu yao chai na Chakula cha mchana,watoe humo humo kwenye 15,000 na 8,000,ni sahihi? Mh.Lukuvi tunakuomba uungurume juu ya hili...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
A 79-year-old retired officer of the CIA, Bill Oxley, has made a series of stunning confessions since he was admitted to the Mercy Hospital in Maine on Monday and told he has weeks to live. He...
45 Reactions
225 Replies
45K Views
Kuwa Kiongozi c jambo dogo tena kuongoza mamilioni,ni mpango wà Mungu. Tunaona viongozi Kama Yusuph waliota ndoto na wakajua,sasa enyi waanndishi andaeni makala muwahoji marais tujue wAlikuwa na...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari wanajamvi, inapotokea mtumishi amefuata taratibu zote za kuomba uhamisho, yaani ameomba nafasi ya kuhamia sehemu kupitia kwa mwajiri na akajibiwa kupitia kwa mwajiri kuwa nafasi ipo na...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
The purpose of death is to end “old” life and so to allow “new” life to arise. This is a “religious” reference but It applies to all aspects of living reality, the seed has to die, to allow the...
4 Reactions
20 Replies
3K Views
Jamani mwenzenu nimekulia airport-tabora na tulikuwa tunaendea vhombo vya kuchezea vilivyotoka kwenye Ndege ila cha ajabu ni muoga kupanda Ndege sijui kwanini,huwa najiuliza ikipatikana fursa...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
UMEONA HIYO PICHA HAPO JUU HIYO NDIYO MILK WAY GALAX AMBAYO TUNAISHI SISI IKIWEMO DUNIA NA SAYARI NYINGINE NANE, Katilati ya hiyo galaxy yetu ndipo kuna ile black hole (shimo jeusi tiii ) ambapo...
1 Reactions
114 Replies
13K Views
Habari wakuu, Nipo katika mchakato wa kufungua biashara mahali, lakini nikiwa katika mchakato huu kuna jamaa aliniambia, "aisee kuwa makini na chumaulete mtaa huu" Nahtaji kujua yafuatayo, Ni...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Siku nyingi nimekuwa siamini kama kweli kuna uchawi katika Tanzania hii, achilia mbali huko kwa wengine. Nimekuwa siamini kwa sababu makosa yote hapa nchini yana adhabu zake isipokuwa la...
0 Reactions
435 Replies
60K Views
tunaiomba serikali itoe posho kwa madaktari na usafiri wa pikipiki ili wagawane vijiji kuweza kufika kuthibitisha iwiwao kifo kitatokea,siyo watu wanazikana kienyeji,tutazikwa wazima niite mlokozi
2 Reactions
12 Replies
3K Views
pengine labda sijaisoma vizuri biblia na kuielewa na ndio maana nimekuja hapa kuuliza wabobezicwa mambo haya ya 'elimu ya Uungu' kuwa maji, giza, Nuru, na upepo viliumbwa siku gani kati ya zile...
2 Reactions
57 Replies
8K Views
Huenda baba wa mauaji duniani tunamjua anaitwa Kaini Baba wa usaliti duniani anajulikana Baba wa chuki duniani anajulikana Sasa Je nini chanzo cha magonjwa duniani Kwa nini tunakuwa wagonjwa na...
1 Reactions
12 Replies
5K Views
EXCLUSIVE: Great Lakes Region on Brink of War Amid ‘Museveni Assassination Plot’ By Kim Aine Posted on August 1, 2018 Special Forces guarding President Museveni's plane at Entebbe Airbase On...
10 Reactions
150 Replies
18K Views
Kuna aina mbili za mapacha ambazo ni mapacha walioungana na mapacha wa kawaida Pia unaweza kusema mapema wanaofanana na mapacha wasiofanana Sasa mimi nalenga kuwazungumzia mapacha wa kawaida ambao...
6 Reactions
48 Replies
12K Views
Habari za asbuhi wana jukwaa moja kwa moja niende kwenye mada husika. UTANGULIZI Mfalme menelik II a.k.a Dagmawi sahle maryam menelik alikuwa mtawala wa Ethiopia kati ya 1889 hadi 1913 ambapo...
12 Reactions
66 Replies
11K Views
Salaam wakuu, Leo naomba kujua kuhusu wachawi, je kwa nini huwa wanashindwa kutoka gerezani kama wakifungwa? Kwa nini hata wasijigeuze mende au mjusi ili watoke? Au ndio tuseme uchawi una...
3 Reactions
86 Replies
20K Views
Kwa ufupi tu Malkia Candace Amanirenas ama KENDAKE alikuwa malkia wa ethiopia ya kale yaani KUSH EMPIRE ambayo kwa kipindi hicho utawala wa meroe ulikuwa Sudan ya sasa. Alitawala kuanzia 40 BC...
32 Reactions
175 Replies
26K Views
Habarini, Katika pitapita zangu za kujua vitu nikakuta hii kitu kuhusiana na dunia kutokuwa ni duara na ni tambarale pia haizunguki katika muhimili wake kama tulivofundishwa huko shule za awali...
15 Reactions
283 Replies
35K Views
Katika harakati zake za maisha tangu siku yake ya kwanza, binadamu amepitia mambo mengi ya kijamii na kiuchumi. Moja ya mambo hayo ni Vita, kwa wanahistoria Kuna Vita nyingi maarufu na zisizo...
5 Reactions
7 Replies
3K Views
Hii sherehe ilihurudhuriwa na viongozi wakubwa wa nchi za Ulaya. Kukafanywa maonyesho makubwa sana lakini hata kama tunasema ni sanaa lakini hii mimi sijaielewa kabisa, maana hakuna...
5 Reactions
34 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…