Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Simo Häyhä December 17, 1905 – April 1, 2002 Nicknamed ‘The White Death'|705 confirmed kills (505 with rifle, 200 with submachine gun) Was a Finnish soldier who, using an iron...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Jana nimesoma gazeti moja likimtaja Mkurugenzi wa Dawasco Bw Archard Mutalemwa nikashangaa; ni Mutalemwa yupi? Aliyekuwa anasambaza maji yasiyo na dawa (1993) wakati akiwa NUWA akaundiwa tume na...
9 Reactions
29 Replies
9K Views
Ndugu wanajamvi nimeamua kulileta kwenu hili baada ya kukaa Kwa muda nikifikiria kinachotokea katika ardhi ya Pwani. Mpaka sasa mauaji yanaendelea, mbaya zaid haijulikani. Nn sababu, lengo la...
8 Reactions
19 Replies
3K Views
Habari zenu wana intelligensia...... Kumekuwa na story nyingi sana kuhusu existence ya Mungu na jinsi dunia inavyopata shida.....hii imesababisha watu wengine kuhisi kuwa hakuna Mungu,ama story...
1 Reactions
18 Replies
8K Views
Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) ni miongoni mwa Taasisi nyeti kabisa nchini kutokana na umuhimu wa majukumu yake. Umuhimu wake unakuja kutokana na sabababu kwamba; nchi yeyote ile ni lazma iwe...
17 Reactions
137 Replies
23K Views
Kwa muda sasa najaribu kujiuliza hili swala kwamba Bahari ilikuwepo tangu kuumbwa kwa hii dunia ila maji yalioangamiza kizazi cha enzi za Nuhu yalipotelea wapi katika uso wa dunia au ndio kusema...
7 Reactions
134 Replies
18K Views
Kilimanjaro ilivyonusurika kuwa nchini Kenya, Mombasa kuangukia TanzaniaJUN 15, 2017by JOSEPH MIHANGWAin MAKALA JE, umewahi kujiuliza swali hili: “Kwa nini mpaka [wote] kati ya Tanzania na...
15 Reactions
28 Replies
6K Views
1: Ni nchi pekee duniani yenye wasomi wengi maengineer, PHDs na Graduates (135 per 10,000). 2: Mwanasayansi Albeit Einstain 1952 alipewa ofa ya Urais wa Israel lakini aliona akatae. 3; Ndio...
54 Reactions
366 Replies
68K Views
Nini matumizi ya safe house? Na ni vipi 'mtu wa kawaida' anaweza kuijua safe house?
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Nikola Tesla and Albert Einstein were two of the greatest scientists of all time, but they often worked in opposition to each other rather than together in cooperation. Einstein’s theory of...
4 Reactions
122 Replies
20K Views
Wakuu kwanini karata picha zake zimekaa kitata? Ile michoro ina maana yeyote na kuna yeyote anaelewa maana yake, hivi ziligunduliwa kwa ajili ya kuchezea kama tunavyocheza sisi au zina mambo yake...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Kutokana na kushamiri vitendo vya kiuchawi kuongezeka imekuwa vigumu kutofautisha ugonjwa wa kawaida na ule wa kiuchawi, sasa dalili zake ni kipimo kikubwa cha kujua uchawi na malaria tofauti yake...
1 Reactions
22 Replies
8K Views
Habari, nilikuwa nalisikia sana suali hili lakini leo nimeamuwa kulijibu kwa kunukuu maneno yake mungu Kiukweli ni suali moja gumu ambalo haliwezi kujibiwa na yoyote katika dunia ama kwengine...
8 Reactions
136 Replies
13K Views
Wewe ni nani? Wewe sio kazi yako unayofanya, wewe sio kundi la watu unalojihusisha nalo. Wewe sio mawazo yako, Wewe sio Akili yako, Wewe sio mwili wako, Wewe sio mtu mwenye furaha, huzuni...
37 Reactions
250 Replies
42K Views
Habari wakuu, natumai wote ni wazima. Napenda kuwaletea thread kuhusu Espionage au Intelligence. Espionage ni nini? Espionage ni kitendo cha kukusanya taarifa au nyaraka muhimu za nchi/taifa au...
26 Reactions
204 Replies
23K Views
CHANZO CHA VIFO VYA USINGIZINI. Waslaam wanajf kisima cha maarifa. Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza. Watu Wengi Sana tumekuwa tukijiuliza kwanini mtu analala usiku halafu asubuhi watu...
3 Reactions
40 Replies
9K Views
Wataalamu hivi pesa za nchi mfano Shilingi yetu huchapishwa nchi gani au ni kampuni gani wanahusika na kuchapisha fedha za mataifa mbalimbali?
0 Reactions
46 Replies
68K Views
Habarini za saa hizi wakuu.. Bila kupoteza muda usiku wa kuamkia leo nimeota natapika mapande ya nyama iliyopikwa na kuna mtu pembeni yangu(simkumbuki) ndiye aliyekuwa ananambia nifanye hivyo na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Zito akichangia bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini, amesema kwamba Waziri Karamagi alikwenda kusaini mkataba wa Mgodi wa Buzwagi, London kwa kutumia mfumo wa mikataba wa zamani wakati serikali...
6 Reactions
1K Replies
146K Views
wakuu nawasalimu wote na kheri ya mwaka mpya... Leo naomba kujua kama je inawezekana kwa rais kuitoroka nchi yake kama vile wafanyavo baadhi ya watumishi wa idara za ujasusi? Ninawasilisha....
2 Reactions
33 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…