Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Fani ya ujasusi inakua siku hadi siku na kila kukicha zinaibuka mbinu mpya za kiulinzi. Hiyo mikono ya bodyguard wa Rais Trump haiendani na mwendo wa mwili, ni mikono bandia, mikono halisi...
8 Reactions
78 Replies
21K Views
Wengi wamekuwa wakishangaa ni kwa nini macho huonekana mekundu kwenye picha pindi wanapopiga picha hususani nyakati za usiku kwa kutumia kamera yenye mwanga(flash). Wakati wa giza mboni ya jicho...
11 Reactions
6 Replies
4K Views
Kazi kubwa ya mashirika ya kijasusi ni kukusanya, kuchambua na kuzifanyia kazi taarifa mbalimbali kwa ajili ya usalama wa taifa lolote na watu wake. mashirika yafuatayo yanaongoza kwa kuwa na...
7 Reactions
100 Replies
25K Views
Sayansi ya Teknolojia ikiwa inaendelea kushika kasi siku hadi siku, chumba hiki maalum kilichojengwa juu ya safu za milima ya Alpine iliyopo Ufaransa kimepata kuwa kivutio kikubwa kwa watalii...
5 Reactions
17 Replies
4K Views
NCHI ZINAZOMILIKI AIRCRAFT CARRIER DUNIANI NA IDADI Na Thabit Karim Muqbell Dunia ina aircraft 19 zinazofanya kazi, lakini zilitengenezwa nyingi huko miaka ya nyuma. Uchakavu na teknolojia duni...
0 Reactions
52 Replies
7K Views
Danger is all around us all of the time. Freak accidents are rare, but people have been killed unexpectedly by lighting strikes, flash floods, and even sinkholes! Then there are the internal...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Upende usipende, lazima ukiri kwamba Ecowas ni wanaume na hawataki unafiki, tofauti sana na chombo hiki kattika eneo letu, SADC. Siku zote nimewaona SADC kuwa ni wanafiki waliopo kwa ajili ya...
2 Reactions
5 Replies
945 Views
Shirika la Ujasusi la Marekani limetoa nyaraka zenye jumla ya kurasa milioni 12 zikionyesha jinsi nchi hiyo ilivyokuwa ikiifanyia ujasusi Tanzania. Katika nyaraka hizo zimeonye pia namna taifa la...
15 Reactions
179 Replies
28K Views
Habari za Asubuhi Wadau....? Ukiwa umebarikiwa kuiona siku Hii salama na umejiandaa na kupambana na umasikini kwa leo, Fanya yote hayo ila usisahau kunifafanulia "Kwanini Kuwe na Mtu MWEUSI na...
5 Reactions
267 Replies
40K Views
Naombeni msaada wa majibu kwa swali hilo hapo juu?
0 Reactions
4 Replies
9K Views
Msaada au maoni ya kitaalam kuh ujenzi wa nyumba kwenye ardhi ya udongo mfinyanzi.Nimeamua kutafakari nanyi wenzangu wa JAMII INTELLIGENCE kwa maana ukitaka kwenda mbio lazima uagane na...
1 Reactions
18 Replies
13K Views
Habari wakuu..? "no jesus no life" Huu msemo nimekuwa nikiusikia kwa watu mbalimbali,fikra zangu zimenivuta niujadili. Kwanza kabisa kwa nijuavyo mimi life-maisha means uhai. Nachotaka kujua huyo...
1 Reactions
58 Replies
5K Views
Habari zenu wakuu, Nilikuwa naomba Kwa wenye uelewa hivi Immanuel Sananda ni nani? Na ana uhusiano gani na kanisa Catholic?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
jf Kuna minong'ono kadhaa jinsi ya maafisa hao wanavyoweza kutambuana popote pale duniani wengine wanasema wana lugha zao wengine kwa kuangaliana tu ,wajuvi wa mambo wanijuze katika somo hili
3 Reactions
113 Replies
16K Views
Naomba mwenye ufahamu ama jibu MFANO ikitokea katika Uchaguzi ujao wa 2020 Rais aliyepo kama anavyofahamika ni wa awamu ya 5 akashindwa uchaguzi je atayechukua madaraka atafaa kuitwa Rais wa...
1 Reactions
37 Replies
3K Views
Manabii wote waliotangulia walivaa kanzu. Halikadhalika kinamama na kinadada wema wote waliotangulia akiwepo bikra Maria walijistiri kwa vazi la heshima la hijabu. Je vazi hili ni takatifu ...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Inasikitisha sana kuona shehena kubwa ya bidhaa mbalimbali zinaingia nchini kutokea zanzibar kimagendo. Inasikitisha zaidi kuona shehena zinazokamatwa ni tone tu ya hali halisi. Iweje nchi...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Vodacom's elite network Stefaans Brümmer 15 April 2007 11:59 Vodacom's connectivity -- the cellphone group's habit of choosing politicians and their friends as business partners -- extends to...
0 Reactions
311 Replies
43K Views
Yahya Jammeh hana jeshi la kumtisha mtu, ana kajeshi ambako hakawezi kupambana na "Jeshi". Jeshi la Gambia linao wanajeshi wapatao 1000 tu ambao wanaweza kusaidiwa na kikosi cha askari 1200 wa...
20 Reactions
79 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…