Katika ulimwengu tunaoishi tumefumbwa vingi na wachache werevu pengine ni kwa makusudi au ni kwa malengo fulani ambayo hili yatimie imewapasa kufanya hivyo,
Leo naomba kugusia interest za wana...
Kila mtu amesikia au kuoana kwa uhalisia, taarifa au katika filamu mateso na ukatili binadamu wanaofanyiana kati yao. Tofauti katika mateso ya binadamu mmoja kwa mwingine na yale wanayofanyiana...
Hodi wakuu wataalam wa mambo.
Leo ninahitaji mnisaidie jambo moja kuhusu nguvu iliyopo ndani ya damu inasababishwa na nini?
Damu kimekuwa ni kitu ambacho kinaaminika kubeba maajabu na nguvu za...
KUNA USEMI HADI LEO WANAAMINI KUWA SIKU MOJA MBINGUNI NI SIKU ELFU MOJA DUNIANI ILA UKIANGALIA DUNIA IMEPITA MIAKA ZAIDI YA BILLIONI OF YEARS HADI PALE WALIPO JUA KUHESABU NA KUANZA MWAKA 1 HADI...
napenda kuwakilisha kwa machungu kabisa wizi wa wazi wazi unaofanywa na Kampuni ya simu ya VODACOM...
Vodacom imekua na dealers wengi Tanzania nzima na katika hao dealers wengi pia wanateua...
'Kufa kufaana' tupo duniani 'kuchumia tumbo' na hakuna dhambi nikitenda dhambi kwa sababu ipo hili niitende niishi, Niende moja kwa moja kwenye hoja:-
Lengo la kutengeneza silaha nikuua watu, nia...
Salute!
"Nina uhakika wote kuwa tukio lile litakuwa la mwisho kutoka kwenye ubongo wangu. Watu walishangilia nilipoinama kuzoa damu ya mama'ngu sakafuni. Nilishuhudia kwa macho wakichinjwa...
Katika vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Msumbiji(1977-1992). Tanzania ilikuwa ikiwaunga mkono wajamaa wenzao FRELIMO dhidi ya RENAMO. Kawaida tulikuwa tukiaminishwa kuwa RENAMO ni waovu wasiofaa...
Moja ya ushahidi wa mwanzo wa kusulubishwa kwa Warumi umepatikana katika mji uliyo katikati mwa Uingereza.
Mfupa wa mwanamume uliyokuwa na msumari kupitia kisigino chake ulipatikana katika mji wa...
Kuna masuala ambayo kila mara lazima ujiulize maswali mengi,
Kwa upande wangu nimezaliwa na kukulia kwenye familia ya dini sana , mpaka nikawa mkristo mahili sana , lakin kadri muda ulivyokuwa...
Unapochaguliwa kuwa Rais wa nchi ni lazima kwanza uhakikishe kuwa Intelligence ya Taifa unaloliongoza iko imara kuliko chochote.
Yaani hata panya lazima ujue anawaza nini,siyo rahisi kwa Taifa...
Nilikua naangalia vita inayoendelea huko 'Middle East' kati ya Israel na wapalestina.
Nimegundua Jeshi la Israeli halina Four Stars General, Mkuu wa Jeshi la Israeli ni Lieutenant General (3...
Hakuna siku ya furaha kama leo ambapo kwa mara ya kwanza Amiri Jeshi Mkuu wetu, Samia Suluhu amevaa magwanda ya jeshi.
Binafsi kwangu nimefurahi kumuona mama na magwanda yake. Hongera mama yetu...
Nawasalimu kwa jina la JMT.
Kuna msemo una sema " ukitaka kuleta maendeleo ktk taifa lolote, badili au weka mfumo mzuri wa Elimu". Hivyo Basi naomba kuwasilisha kwa wadau swali langu kuwa;
"Elimu...
Mada ya timetravel sio ngeni hapa JF ila tumekuwa tukijadili labda ule ushaidi wa charlie chaplin wakati wamemaliza kurekodi ikaonekana mtu hana ongea na simu wakati miaka hiyo kuanzia simu...
Moja kwa moja mada yahusika
Hivi msingi wa kuogopa kifo kwa wanadamu ni nini?
Unaweza pata experience yoyote? Kwamba kuna maumivu au baada ya kufa ndio kuna maumivu?
Hata mimi najua nitakufa...
Maneno ya Marehemu Remmy Ongala katika wimbo wa Kilio ukiyasikiliza kwa makini yanaleta hoja nzuri nzuri juu ya mapokeo ya dini, ujio wa Yesu na namna wakoloni walivyotuchota na kutulisha matango...
Baada ya Mwenyezi Mungu kumpa Mchoro kamili wa Ramani ya SAFINA nabii NUHU:- Unadhani Kwa Ufahamu unaoujua wewe au Kwa Dini uliyoisoma wewe, Huyu Nabii Nuhu alitengenezaje Boti ile Kubwa zaidi...
1) Vita ya Nyuklia (Nuclear Armagedon)
Bomu moja la Nyuklia lina uwezo wa kusababisha kifo kwa asilimia 80 hadi 95 kutoka eneo lililoripuliwa kuelekea umbali wa kipenyo cha Km 4 ingawa uharibifu...
Good day wakuu!
Baada ya kupona dhoruba la kunyimwa Uhuru wa kubanguana bongo....tuendelee kupeana vitu adimu na adhimu kwa afya ya ubongo..maandishi yenye kuprovoke thought and intellectual...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.