Jamii Photos

A collection of Community Photos brought to you by our members. Enjoy your stay!
UN ilimaanisha Women's day iwe na wadada kama hawa nyie wengine mnaforce. Credit to CHADEMA Party
13 Reactions
24 Replies
1K Views
Exclusive photos and pictures about Environment Culture Nature Wild Living creatures Creational activities Man-made Mixed feelings etc
17 Reactions
6K Replies
125K Views
Weka yako tafadhali
39 Reactions
3K Replies
397K Views
Haya ndio Maisha harisi ya huyu mwanadada ameamua kuubadili mwili wake na kujiweka muonekano wa kivampire na ndio chaguo lake na anajiona mrembo kuliko awali
6 Reactions
30 Replies
940 Views
Alikuwa na utajiri unaokadiriwa kufikia dollar za kimarekani trillion 2.1
11 Reactions
200 Replies
58K Views
Tupia picha yeyote inayoonesha ukichakalika kazini iwe mgodini,dukani,sokoni,ukichunga mifugo,au popote pale karibunipicha: shamba la tumbaku katika moja ya kata mkoani tabora
3 Reactions
21 Replies
639 Views
Give a nice caption to this picture 📸
1 Reactions
3 Replies
156 Views
  • Closed
1 Reactions
110 Replies
9K Views
Tumsifu Yesu Kristo.... Bwana Yesu Afisiwe.... Tukiwa katika kipindi hiki cha kuelekea Pasaka, tuchukue muda kutafakari Mwanakondoo huyu, Sadaka na Kafara wa ulimwengu kwa ajili yetu, kwa namna...
6 Reactions
25 Replies
836 Views
Je ulishawahi kuona mdudu atembeaye? Mimi sijawahi kwakweli kwakuwa viumbe hai watembeao ni aidha wana miguu miwili ama minne. Hizi ni baadhi ya picha za wadudu warukao na watambaao.. Kati ya...
5 Reactions
95 Replies
1K Views
Story ambazo huwezi kuzikosa hapa -Diamond Freemason -GSM anaharibu ligi ya bongo -Mo Hana Hela -Kiba kuimba live hajui -Yule demu nimepiga Taja Na zingine unazozijua..😂👇🏾
2 Reactions
1 Replies
99 Views
Huu ni ukubwa wa Mti wa sequoia ikilinganishwa na binadamu. 🌲 Kile ukionacho mbele yako sasa ni kiumbe hai kikubwa zaidi Duniani na jitu kubwa zaidi ndani yake.. mti mkubwa wa sequoia. Sequoia...
5 Reactions
13 Replies
367 Views
Kwenu wajuzi, hii picha imepigwa mkoa gani? Mji gani? Mtaa gani?
1 Reactions
7 Replies
324 Views
Ni VC wa UDSM. Inaelezwa kuwa ameachana na ubachela na mke wake ni mwalimu wa LT pale Duce. Kila la heri kwao. NB: Vitu hivi havina uzee. Wazee wengine tumieni fursa hii ya Corona maana hakuna...
6 Reactions
41 Replies
10K Views
African Blackwood, mojawapo ya miti ghali na adimu zaidi duniani. Pia inajulikana kama "dhahabu nyeusi ya misitu". Rangi yake nyeusi kali na ugumu wa kipekee huifanya kuhitajika katika tasnia...
8 Reactions
9 Replies
313 Views
Post your pets right here [emoji116][emoji116][emoji116][emoji2][emoji2][emoji2]
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Mastaa walipokutana miaka ya mwanzoni mwa 2000, Mtoto wa Dandu hapo alikuwa star sana, bahati mbaya alifariki kwa ajali ya gari.
2 Reactions
3 Replies
230 Views
Back
Top Bottom