Kaka yangu yupo Holland kapiga picha Mkuu wetu wa nchi Mheshmiwa Rais JK. Picha nzuri nimeipenda Mashallah Mkuu wa nchi alipo tembelea nchini hollanda wamependeza Mashallah Picha ya kumbukumbu.
Mimi nimtaalamu wa mambo ya Race na huyu jamaa kila nikimuangalia haonyeshi kama ni Mtanzania, anafanana sana na watu wa maeneo ya Afrika ya Magharibi mpaka Afrika ya kati! Watanzania huwa hatuna...
Kuna Binadamu wengine wapo kam wanyama, anakanyaga mkate kavaa kama kiatu wakati mwenzake anaulilia huo huo mkate aliokanyaga ahhh!!!! Mungu Wetu wasaidie Masikini wote duniani ameen.
kiatu cha...
Ngugu zangu watanzania wenzangu,nchi hii mwenyezi Mungu ameijalia utajili wa kila kitu mfano ni nchi ya 1 duniani kutoa madini ya tanzanite,ya 2 kwa mbuga za wanyama ambao hawapatikani penngine...
NI BUNGE AU NI SEHEMU YA MIPASHO?
Nakumbuka bunge la mwaka jana lilikua kiboko mwaka huu naona kuna adabu kidogo si kama hivi ilivyokua, ila mimi nlikua naenjoy na fujo zao zilinifanya...
Touts at Shibuli stage along Kakamega-Mumias road in Kakamega County sort their differences after a disagreement over passengers. For onlookers, it was an amusing spectacle to beat the routine boredom
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.