Katika hali ya kustaabisha nimekutana na tape ya polisi ikiwa imetumika kama uzio. Nimeweka Picha ili Jamii ione.
Ninaamini haya ni matumizi mabaya ya rasilimali zetu, hizi tape bila wasiwasi...
Kama ilivyo ada ya kila wiki nimekuwa nikiwaletea habari picha ya matukio au watu washikiliao rekodi za dunia katika mambo mbalimbali.
Leo napenda niwakutanishe na mtoto mwenye vinyweleo au...
Unachota Moyo wa snowhite Vs unachotaka Moyo wa Boflo.
Bofloooooooooooooooooooo!!!!!!!!!!
Sikonge pia sichezi mbali na Boflo inapokuja kilichopo ndani ya Moyo. Au siyo KIKUNGU?
Some-fin fishy ... a scientist displays the world's first two-headed shark
The Cuban Slider turtle
This little fella was found by a police officer at the banks of the...
Salaam
huyu jamaa mmiliki wa hii nyumba nimeshindwa kumuelewa, katumia sehemu ya bara bara, ni kama vile hapendi watu wapite eneo hili, wahusika natambua mnapita hapa na mmeona, hii sio sawa...
Habari wanajf,
Nilifuatilia mlolongo wa matukio ya mji wa Dar es Salaam kupitia mvua kubwa zilizonyesha tarehe 21 December 2011 ambapo kiukweli maafa makubwa ya watu wengi kupoteza maisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.