Hii ndio safu ya Marais wastaafu Afrika waliohudhuria mkutano wao Afrika Kusini ukiongozwa na Balozi wa zamani nchini Tanzania Bwana Charles. Mwinyi, Mkapa na Karume kutoka Tanzania, Thabo Mbeki...
duhu, tukumbuke tulikotoka. si miaka mingi iliyopita. hii ilikuwa Tanganyika 1915 chini ya himaya ya mjerumani. reli na barabara zilijengwa kwa kasi ya ajabu. wabongo tulikuwa weusi mpaka...
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi an Teknolojia January Makamba akikaribishwa makao makuu ya Vodacom Tanzania na Ofisa Mkuu wa Mahusiano na Mauzo kwa Wateja Wakubwa waVodacom Tanzania Mwamvita...
Ama kweli maendeleo hayaji kwa bahati, bali kwa Mipango na Bidii ya kazi. Tazama hii, kulingana na uzoefu wako ni mkoa gani wenye watu wa bidii kama hii ?
Kwa mbali watu wakiserebuka baada ya Mahakama Kuu kutupilia mbali mashtaka matano yaliyokuwa yana mkabili Mbunge wa Jimbo la Ubungo John Mnyika hivyo wana CHADEMA walikuwa wengi Mahakamani hapo...
Unapo sikia na kuona mijitu mizima iliyokwisha zao inatowa magari na harama nyingine kwa kabinti kama huyu alimradi tu shoka lifanye kazi yake ,kuna uwezekano anayowafanyia hata kwa wake zao au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.