Jamii Photos

A collection of Community Photos brought to you by our members. Enjoy your stay!
Huwa natamani hii katuni ingekuwa kweli lau tungepumua kutokana na utoro wa kijana wetu ukiachia mbali kuacha nyumba ikiwa chafu huku akifaidi na laazizi wake. Ila furaha yake ni mauti ya watu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu katika tembea tembea yangu nchini hapa nikaona tangazo hili. Ni wapi hapa?
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Hapo Sheria ni kwamba huruhusiwi kusomea gazeti mezani wala kusogelea meza kama hununui.... cheki mshikaji anavyokuchambulia headlines akiwa mita kadhaa....sijui kwenye macho amefunga...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hebu ipe hii picha maelezo yako!
0 Reactions
34 Replies
9K Views
0 Reactions
2 Replies
1K Views
U.S. President Barack Obama greets his ambassador to Colombia, Michael McKinley, as he arrives for the Americas Summit at the airport in Cartagena, April 13, 2012. Heads of state meet at the...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Mpaka Tume ya kurekebisha katiba imalize kazi katika kipindi cha mwaka mmoja na nusu Professa Baregu atakuwa amefuta chozi la kutupiwa virago vyake pale UDSM na hii serikali..........maana mlo wa...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
0 Reactions
0 Replies
888 Views
  • Closed
Nimeupenda ucha mungu wa aina hii toka kwa waumini wa kikatoliki....ama hakika kumcha mungu ni chanzo cha maarifa...................
6 Reactions
44 Replies
9K Views
Mbowe jubilantly shakes Lowassa's hand.......................are they buddies or just getting over with the occasion?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
idadi kubwa ya watu tunapenda kuvaa Tai lakini hatujui jinsi inavyofungwa! Hebu pata Twisheni ya Bureeeeeee!
5 Reactions
45 Replies
5K Views
afande aliyezungushiwa duara kajichokea kweli kweli. tupia vijimaneno viwili kwa nini kachoka?
0 Reactions
21 Replies
3K Views
naona williama huko ccm hakukufai kabisa
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Picha inayoonyesha madikteta wanne waliodondoka mmoja baada ya mwingine huku mmoja akiuawa. Kweli dunia inakimbia.
1 Reactions
33 Replies
6K Views
Nawezaje kupaste picha bila ku-attach as a file. Nimejaribu ila nikishapaste nikisema submit picha haionekani tena. msaada wandugu
0 Reactions
0 Replies
889 Views
<tbody style="margin-top: 0px; margin-right: 0px; margin-bottom: 0px; margin-left: 0px; padding-top: 0px; padding-right: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; "> APPEAL FOR ISLAMIC SHARIA...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Muda si mrefu katika pitapita kwenye nimekutana na picha hii hapa ila nimeshimdwa kuamini kama kuna uwezakano wa hili au ndo ubunifu tu wa kutengeneza picha?
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom