Rais Jakaya Kikwete akifafanua jambo wakati wa Mkutano wa tano wa Kimataifa wa Tasnia ya Uzinduaji (EITI) mjini Paris, Ufaransa, uliozungumzia matarajio ya baadaye ya tasnia hiyo na uwazi...
Jamani nimekutana na picha hii, nikawa nimefurahishwa na huo mtindo wa hilo vazi la bluu. Msaada: Nani mbunifu wa hilo sulupwete? Mama katoka as black beauty, Afro....no vipodozi etc. Wewe...
Waungwana nimeona niitoe picha kutokana na ukweli kuwa wengi hawakufurahishwa nayo..
Naomba samahani kwa yeyote niliyemsababishia usumbufu kwa namna moja ama nyingine..
TANMO.
Kutokana na hali halisi ya usafi wa glasi kuwa kizungumkuti katika sehemu nyingi za vinywaji yaani hazioshwi,au hazioshwi vema au zinalowekwa tu kumekuwa na wimbi kubwa la watu kupiga...
HAPA TUJARIBU KUWEKA PICHA ZA RAIS WETU NA MARAIS MBALI MBALI ALIONANA NAO.
NNATARAJI ATAKUWA NI RAIS WA KWANZA TANZANIA KUKUTANA NA MARAIS WENGI DUNIANI
HAPA AKIKUTANA NA RAIS WA usA
HAPA...
Huyu m-dada ni mojawapo wa kuwa mifano ya kuigwa!!Wanawake wengi hawapendi kufanya mazoezi hata kujinyoosha kwao ni tabu!Unaweza kujiweka freshi hata ukiwa chumbani mwako.Nadhani ndio maana ana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.