Hapa dunia binadamu wa namna hii hawakosekani, sijui kwanini..!kuona kwamba Mali au Chombo cha Umma ni mali yake binafsi. Na haya ndo matumizi mabaya mno ya akili, sasa huyu anawezaje kufanya hivi?
TANZANIA YETU
MKUU wa mkoa wa Dar Es Salaam, Paul Makonda akiwa katika muonekano tofauti na Magari yake
Picha nyingine inaonyesha moja ya kituo kidogo cha polisi kilichopo Wilaya kakonko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.