Hehehe.!!Pichani hivi ndivyo Wadada wa Mkoani Njombe walivyoazimisha siku ya tuzo za malikia wa nguvu leo tarehe 6/4/2019 huko kwao wakiwa katika pozi mujaribu..Hahahaha Utawaambia nini??..
#Mimi...
Nilimsikia kocha wa twiga stars akilalamikia maumbo makubwa ya wadada wa congonikajisemea mweeeh,wachezaji wazuri nchi hii wanatokea kigoma na morogoro unatarajia nini?labda wasukuma na wanyakyusa...
1: Akijianda kwenda Bungeni
2: Jinsi alivyoingia Bungeni
3: Akiwa amekasirishwa na hoja
4: Akipata maelekezo ya nini kifanyike kwa kutumia hicho kifaa kidogo
5: Akitoa maamuzi
Asubuhi hii jamaa kaingia kwa mama ntilie kunywa chai akaiba kipochi cha huyu mdada akakamatwa hapo ikawa hivi:
Cheki mwanamke wa kimburu anavyo jua kupiga mwanaume freshi mpaka jamaa kasarenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.