Muigizaji kutoka Ghana Princess Shygle, ameistua dunia kwa kufanyiwa upasuaji na kuondolewa mbavu zake tano pamoja na utumbo ili kupata umbo namba 8 kwa ajili ya kuvutia wanaume.
Sent using...
Ifuatayo ni orodha ya walimbwende ambao kwa mtizamo wangu naamini ni warembo bora kabisa hapa nchini Tanzania.
Orodha hii ina mjumuisho wa warembo ambao ni Vipusa waliopita wa Tanzania...
These are pictures that shows how nature can be scary 😨 really scary!
That's a happy meal
A large appetite for large meal
In your head 😃 hope Mohombi is proud 👏
Kasongo becomes a meal
A...
Hii ni picha ya Jean Claude Van Damme akiwa na Bolo Yeung.
Hapo wakiwa katika movie ya bloodsport ya mwaka 1988 na picha ya nyingine walipokutana mwaka huu 2025 takribani miaka 37 baadae.
Ama...
Weka picha ya Tanzania Ambayo hauwezi kuiona katika TV .
Lengo ni Ku-raise awareness Kwa jamii kuwa Tuna Watanzania wenzetu wanoishi maisha magumu na wapo katika mazingira hatarishi.
Kupitia...
Tupia picha ikionesha watu,wanyama au chochote katika Hali ya upendo
Ni eidha upendo wa baba na mAma,baba na mtoto,mamaa na mtoto,familia,jamii au popote pale
Ni ubunifu nzuri rahisi na wa aina yake wenye faida nzuri sana.. Ya an I bunda moja la vibiriti 12 la shilingi 500 linaweza kukupa faida mpaka ya laki kutokana na ubunifu utaofanya
Tatizo la huu...
Wakuu kwema?
Nimeona leo tutaje matunda tunayoyapenda zaidi, na tuseme sababu za kuyapenda ili iwe elimu kwa ambao hawajui other side of fruits wonders to our body health.
Binafsi tunda...
Kwenye hii picha unaweza kudhani ni picha ya kawaida tu ila kama itatokea upo zako porini na haujapata kufahamu kuna kitu gani mbele yako basi fahamu muda wako unahesabika.
Wapo watakaosema kuwa...