Ni kama vile imechukua nafasi ya kamusi kwa wengi wetu kwakuwa si kila wakati tutabeba kamusi tutembee nazo... Uliza chochote kwenye Google utapata jibu... Ni mara chache mno Google kukosa jibu...
Habari zenyuu,
Nimeikuta hii picha mahali..
Nikabaki nashangaa, hivi kumbe kuwa best student ni dili eehh.... nilichojiuliza tuu huyu student ataweza kuhimili gharama za kuendesha hii gari...
Mdau hebu ipe maneno picha hii hapa!!
Zitto: Mkuu Lissu unamwonaje Naibu Spikaa nasikia ana Mastazi kali ya sheria ???
Lissu: ha ha ha ha Kaka Zitto usinifanye nicheke mie, hii Bunge letu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.