Huyu jamaa ni wa jamii ya Rohingya kule Burma,kawabeba wazazi wake hivyo kukimbia machafuko,
kutoka majeshi ya serikali,inasemekana katembea umbali mrefu sana.
make the world safer place
pale uzi unapoliwa na radiokaseti.
Hii ilikuwa mbadala wa video kwa wale ambao kuonana na Video ilikuwa utata kama kujua kilichomo kwenye makinikia. Kiingilio cha kuangalia ilikuwa tsh 5.
huyu...
Apoteza Network baada ya kuzidiwa na kinywaji wasalia wema wakamsaidia kumkodia bajaj na kumsindikiza kwake Jamaa ni mwenyeji wa Ukonga dsm
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.