Jamaa anaongezea vitamini zaidi kwenye hizo sambusa
Hivi hawa wauza sambusa huko mitaani wakibanwa haja ndogo au kubwa madumu yao ya sambusa huwa wanamuachia nani wakienda msalani?na wauza...
Huyo mchoro umeuzwa bei kubwa sana kwa kwa pesa ya kitanzania ni sh. Billion 250.
Kwa mtazamo wangu
Huo mchoro hata mtu nikute anauza sh. Elfu 50 siwezi kununua kwasababu sijauelewa maana yake.
Kwa uwezo wa macho yetu ya kibinadamu kope huonekana hivi
Lakini kama muonekano huu ukikuzwa mara 50 inaonekana hivi:
Na hii ni kwa sababu kope zipo nje ya ngozi ya mwanadamu na husongwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.