Sio mara kwanza kupita katika zile studio za video muda wa karibu na saa 4 usiku au hata zaidi ya muda huo!!
Utakachokuta hapo licha uwepo wa vijana lakini na watoto wa umri mdogo nao unawakuta...
Mfalme wa Guinea akiwa ametulia zake ndani ya mkutano wa UN akisikiliza kwa Makini kinachojiri huku akiwa amejivalia vazi la kwao Maarufu kama Voodo....Hana Habari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.