Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Klabu ya Simba SC imesaini mkataba wa zaidi ya Shilingi Bilioni 30 na kampuni ambayo imeshinda tenda ya uzabuni wa kutengeneza jezi na kusambaza vifaa vyenye nembo ya Simba Sports Club. Inatajwa...
1 Reactions
22 Replies
917 Views
Tetesi Zinasema Mechi kati ya vigogo hao itachezwa baada mapumziko ya mechi za kimataifa Na mgeni rasmi inasemekana atakua rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassani Tuone...
1 Reactions
22 Replies
709 Views
Habari za ndani zinaeleza, Uongozi wa club ya Young africans imeketi na kuamua kuipeleka TFF katika mahakama za juu za FIFA kufuatia shirikisho hilo kuufuta mchezo namba 148 wa Ligi kuu bila...
16 Reactions
84 Replies
3K Views
Taarifa nilizonazo kutoka Kwa viongozi waandamizi wa club ya Simba ni kuwa katika kikao kilichofanyika usiku huu wamedhamiria kususia mechi Nilipomhoji kuhusu kanuni Kwa timu isiyofika uwanjani...
4 Reactions
29 Replies
1K Views
Wakala wa mchezaji Ellie Mpanzu anayefahamika kwa jina la Papida amesema mchezaji wake bado anadai sehemu ya malipo yaliyobakia ambapo inadaiwa mpaka sasa kuwa hayajakamilishwa. Papida ameweka...
3 Reactions
30 Replies
1K Views
Wakuu Kama kweli adhabu ndio hizi una mtazamo gani? Kuna kitu kitapungua kwenye Soka la Bongo? Ikumbukwe, Mameneja hao wa Habari na Mawasiliano wa vilabu vya Simba Sc na Yanga Sc, Ahmed Ally...
1 Reactions
97 Replies
6K Views
Ili kuonesha kuwa siku ya kufa nyani miti yote huteleza. Kuna tetesi kuwa klabu ya Simba sc imeamua kuhamishia mechi zao za nyumbani katika uwanja wa Azam complex ili kupishana na mahasimu wao...
2 Reactions
38 Replies
3K Views
Ramadhani Kabwili golikipa wa zamani wa Yanga anahusishwa kurudi tena katika klabu hiyo baada ya kufanya mazungumzo na viongozi waandamizi. Lengo hasa la kumrudisha Kabwili ni kumpa changamoto...
3 Reactions
31 Replies
731 Views
Leo jioni KMC Complex wamekamatwa vijana wanaodhaniwa kuwa ni Yanga wakiwa na vifaa vya kufanyia ushirikina. Hii inaelezwa kuwa maandalizi ya kuelekea mechi ya kesho dhidi ya KMC. Zana hizo ni...
9 Reactions
50 Replies
2K Views
Naamini kabisa kuna watu wanafanya biashara kupitia hawa wachezaji. Chama huyu ndo alisajiliwa kwa zaidi ya Million 500? Kuna mambo yanaumiza sana wapenda mpira. Watu waliungiza Uongozi chaka.
7 Reactions
65 Replies
2K Views
Niwape hii. Aliyewahi kuvaa Jersey number 6 Yanga anarudi kuivaa tena msimu ujao. ✅💯 Walid na mchumba wa Hamissa wanaondoka✅💯 Winger wa Central African Republic aliye Chamazi kama Azam hawata...
7 Reactions
33 Replies
1K Views
Ubaya ubwela,kama mbwai mbwai tu,ukimwaga mbiga namwaga ugali, ndivyo unavyoweza kusema. Kocha wa dunia Miguel Gamondi ametishia kuitisha press na kusema yale yasiyojulikana. GSM fanyeni...
6 Reactions
19 Replies
1K Views
Inadaiwa kuwa Management ya mchezaji Chasambi ipo katika mazungumzo na SBS ili kumsajili winga Chasambi Chasambi hana amani Simba, amekuwa akiandamwa na mashabiki wa timu hiyo kuwa anawachoma...
7 Reactions
22 Replies
885 Views
Wazee Ubaya Ubwela jiandaeni Kisaikolojia AS FAR ya Morocco, inamtaka kocha wenu kipenzi baada ya kumfukuza Hubert Velud leo, tarehe 5 Februari 2025, kufuatia matokeo ya hivi karibuni. Katika...
0 Reactions
20 Replies
805 Views
Katika hali ya kushangaza coach Saed Ramovic ameaga rasmi na kuwa mechi ya kesho vs ya Ken Gold ndo mechi ya mwisho kuwa Yanga Club ya CR Beilouzdad imempa offer ya mshahara wa dollar 40,000 na...
15 Reactions
136 Replies
5K Views
Haijajulikana amefuata nini. Ila watu wachawi sana,mmemsagia kunguni mwenzenu kuwa hafiki pasaka na hajafika kweli ilaCV yake imeboreahwa Soma Pia: Kocha Saed Ramovic aaga wachezaji rasmi
7 Reactions
17 Replies
518 Views
1. Kiungo mkabaji Kelvin Nashon anatakiwa Young Africans 2. Kiungo Mshambuliaji Foday Trawally anatakimmowa na Simba SC 3. Larry Bwalya anawindwa na Singida Black Stars na Pamba Jiji 4. Kiungo...
15 Reactions
455 Replies
70K Views
Kocha mkuu side mnyamwezi ameushauri uongozi wa klabu ya gongowazi kuhamia south huko atapambana na timu ngumu kama mamelodi ,kaizer chief,Gallaxy na nyinginezo.....hivyo akipangwa tena makundi...
2 Reactions
40 Replies
926 Views
Huyu Saed Ramovic hana tofauti na aliyekuwa kocha wa Simba Benchika, alipokuja alikuwa anaponda wachezaji na ligi yetu. Mwisho wa siku akaamua kuondoka na akawachukua wale wachezaji aliokuwa...
7 Reactions
21 Replies
1K Views
Kwa 90% wameshamalizana nae na Mshahara wake wa sasa huko ni 'Kufuru' na Jumba la Kifahari Mbweni Ufukweni.
6 Reactions
36 Replies
2K Views
Back
Top Bottom