Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
Wadau nikiwa shabiki mkubwa wa Taifa Stars,sikutarajia kabisa kama TFF ingeiandaa Taifa Stars kwa kiwango cha chini kiasi hiki. Kutokana na jinsi tulivyohangalika kwa miaka 39 kushiriki...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Michezo ya marudiano ya mtoano ya kupanda Ligi iliyopigwa hii leo imekamilika kwa Mwadui FC kuitoa timu ya Geita Gold FC na Kagera Sugar kuitoa timu ya Pamba FC Mwadui FC imelata ushindi wa goli...
4 Reactions
15 Replies
3K Views
Hivi all this time tunadanganyana kwamba vyura walicontribute 3 points in the 5 years CAF rankings kumbe ni 2???kama simba kaongezea 16 points hawa vyura wanakataa nini kupiga magoti na...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Lile zee linafiki lililoacha team yake ikichapwa iringa na kubaki dar kuifanyia simba hujuma dhidi ya as vita ya congo mbaya zaidi liakeneneza uvumi eti simba inapulizia sumu vyumbani na kuhimiza...
2 Reactions
27 Replies
4K Views
baada ya stand united na afrika lyon kushuka dalaja , nafas ilibaki moja ya kushuka , lakn timu zote zimebak ligi kuu , sasa timu gan ya tatu kushuka , anaeelewa anieleweshe
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ndo mchezaji mwenye magoli mengi timu ya Taifa ana magoli 25 na mchezaji namba 20 Africa kuwa na magoli mengi timu ya Taifa.
1 Reactions
5 Replies
12K Views
Wanabodi, Leo kwa namna ya pekee niwatakie heri timu ya Pamba FC, wanakawekamo, TP lindanda washinde na kurejea ligi kuu. Mimi Pamba FC ndio ilikuwa timu yangu ya kwanza kushabikia na kuhudhuria...
3 Reactions
71 Replies
6K Views
Ukiwa kama mdau wa michezo, nimejaribu kuangalia kikosi kilichotajwa, hususani kwa upande wa washambuliaji nimeshindwa kuelewa kwann watu walalamika swala la kuachwa Ajibu Katika list apo chini...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Timu ya Taifa ya Zambia leo tarehe 08 Juni, 2019 imenyakua Kombe la COSAFA 2019 baada ya kuinyuka Timu ya Taifa ya Botswana kwa bao moja kwa bila. Bao la washindi liliwekwa kimiani na mshambuliaji...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wachezaji saba waachwa kwenye kikosi cha AFCON 2019 Ibrahim Ajibu Jonas Mkude Shomari Kapombe Khasim Khamis Ayoub lyanga Kennedy Ally Ally Wachezaji 32 wa Taifa Stars ambao wanaondoka kwenda...
2 Reactions
87 Replies
12K Views
Ifuatayo ni list ya wachezaji inaosemekana Simba inataka kuwaongeza katika usajili wa dirisha hili Wachezaji wazawa waliowekwa kwenye hii list ni watatu tu Beno,Ajibu na Chilunda binafsi...
2 Reactions
39 Replies
6K Views
Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' leo kimeondoka nchini Tanzania na kuelekea nchini Misri kwa ajili ya kuweka kambi maalumu ya maandalizi ya michuano ya Afcon itakayofanyika...
2 Reactions
18 Replies
4K Views
Nàanza kwa kudeclare interest. Mimi ni die hard fan wa Dar Es Salaam Young Africans na kifuatacho ndio kikosi changu bora cha wakati wote kwa wachezaji wanao/ walio wahi kucheza soka la bongo...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Neymar awasilisha taarifa kwa polisi huku kampuni za matangazo zikianza kuvunja mkataba naye Nyota wa Brazil Neymar alienda katika kituo cha polisi mjini Rio de Janeiro kuwasilisha taarifa...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Namba 10 wa serengeti boys sio wa sport sport kama wengi wanavyo mchukulia poa kwa sababu ya udogo wake. Ni finisher hatari sana, kana akili ya mpira . Kama kocha atampa muda mwingi anaweza fanya...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Kwa wafuatiliaji wa huu mchezo wetu pendwa wa soka, watakubaliana na Mimi kuwa tangu yanga wapate uongozi mpya kumekuwa na utulivu wa Hali ya juu huku utekelezaji kwa vitendo kwa Yale waliyo...
2 Reactions
13 Replies
4K Views
Nilishauri Mohamed Hussein Zimbwe Jr alias Tshabalala aongezwe timu ya Taifa na nimeona jna lake katika orodha ya wachezaji waliotwa Stars. Mimi ni die hard fan wa Dar Es Salaam Young Africans...
5 Reactions
4 Replies
2K Views
Tumeona team nyingi zinazoenda Afcon zikiagwa kwa uzito sana, sisemi halijafanyika hilo hapana ila je, tumekosa viongozi wote wa juu kwenye hili? Wenzetu wengi wameagwa na Viongozi wakuu wa nchi...
2 Reactions
44 Replies
4K Views
Yule mzee muongo muongo san hapa huwa anajitambulisha he is 46,why lakini jamani na nyie waandishi wetu hata kufatilia mlishindwa kutwa kujisifu kafundisha ulaya kumbe hiyo afc tubize ipo daraja...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom