Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

1.Allison Becker katika kiwango bora. Hakuna shaka katika kipindi cha kwanza Tottenham Hotspurs hawakuwa bora katika kushambulia kwani hawakufanikiwa kupiga shuti lolote ambalo lilifanikiwa kuweza...
5 Reactions
3 Replies
2K Views
Ilikuwa namna hii kwa wale ambao hamkushudia. Bidada kapandwa na mzuka kajitupa uwanjani Papa nje! [emoji16]
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kwa tusiokuwa na DSTV walla pesa ya vibanda umiza link ya leo kutazama mechi hii hapo chini Liverpool vs Tottenham | Live Streaming Link
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Mimi nipo " Ni wivu tu Pub " tayari pamejaaa sana. Ww uko ukumbi gani?
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Klabu ya Azam FC imetwaa Kombe la Shirikisho la Azam Sports Federation Cup, baada ya kuichapa Lipuli FC bao 1- 0 katika mchezo wa Fainali ulifanyika leo Juni 1, 2019 kwenye Uwanja wa Ilulu mkoani...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Inaripotiwa kuwa kuna uwezekano wa timu ambazo zilitinga hatua ya robo fainali ya klabu Bingwa Afrika CAF Champions League msimu huu wa 2018/2019 na msimu ujao wa 2019/2020 zitakutana na timu moja...
4 Reactions
40 Replies
6K Views
Mimi napenda sana football napenda kuona mataifa mbalimbali yanapozipa kipaumbele team zao na hata kuzigharamia kwenda mataifa ya nje kujifua ili kujiandaa na AFCON. Nasikitika sioni kabisa amsha...
8 Reactions
51 Replies
4K Views
Sijawahi kujua vuzuri ubora wa Soso uwanjani ila huyu mchezaji wa Lipuli FC ameitwa timu ya taifa kwenda AFCON. Ni mchezaji mvivu, hajui kukaba, hana pumzi, hajui tackling. Anachoweza yeye ni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Andika jina la mchezaji wa timu yoyote ile ila jina hilo ukiligeuza liwe na maana ile ile Naanza mimi Kindoki=Kindoki Kaka=Kaka Endeleeni na ninyi
0 Reactions
8 Replies
927 Views
Ibenge na wasaidizi wake wamepewa jukumu la kuhakikisha congo wnaachukua ubingwa wa AFCON kitu ambacho ni impossible hata yeye kakiri ni ngumu so baada ya afcon tutarajie zahera tofauti wa yanga...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Habari zenu! Baada ya kukaa nje kwa muda toka alivyopishana na bodi na wachezaji wa klabu ya Chelsea Fc hatimaye kocha mwenye mzuka wa kushangilia na mbinu nyingi amerejea tena lakini katika ligi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Siku hizi naona kama ratiba za mpira wa miguu zinaenda sawa katika Nchi nyingi duniani. Leo pale uwanja wa Ilulu Lindi mjini utapigwa mtanange wa kusaka timu itakayo wakilisha Nchi katika michuano...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari za wakati huu wana jamvi Jana kulikua na tukio kubwa sana la ugawaji wa tuzo za wachezaji waliofanya vizuri katika timu ya Simba Sports Club Ikumbukwe tuzo hizi zinafanyika kwa mara ya...
4 Reactions
42 Replies
4K Views
Moderator naomba uedit heading, isomeke kumtosa. Asante. Binafsi ni mfuatiliaji mkubwa sana wa soka la africa. Ila nilikuwa nyuma kuhusu atmosphere ya Zambia kwenye masuala ya soka. Juzi katika...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
hii ni kwa mujibu wa list ya hadi tarehe 30 may 2019. simba ni ya 20 afrika, ya kwanza east and central africa ikifuatiwa na gor mahia ya kenya ambayo ni ya 23 afrika, ya tatu ni kcca ya uganda...
0 Reactions
21 Replies
9K Views
Category zinazoshindaniwa Mandhari saaafi ya ukumbi Kocha na baadhi ya wanandinga wakiwa wamewaka Kijana mdogo MK14 so clean so fresh Tukio hili lipo mubashara Azam TV Tayari mgeni rasmi...
4 Reactions
122 Replies
13K Views
Viongozi wa Yanga na Kocha Wao Zahera huwa wanadhani huko kuna Wachezaji mpira hasa wale wa Kutoka nchini Rwanda wa ' bure bure ' ili waweze Kuwasajili kwa Msimu ujao ambapo kuna uwezekano hata...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Talent
1 Reactions
0 Replies
552 Views
Kuelekea michuano ya Afcon 2019 mwezi ujao jirani zetu timu ya taifa ya kenya Leo asubuhi wameondoka Kenyatta int airport kwenda ufaransa watakapoweka kambi ya Wiki tatu kujiandaa na michuano hiyo...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Back
Top Bottom