Wakuu habari zenu....
Leo imenibidi niongee na Hassani Dilunga (HD), Kiungo machachari, Una sifa zoote brother, nilianza kukuona wa tofauti kwanzia mechi ya Nkana, pressing yako sikutofautishi na...
Tutoe macho na mawazo kwenye siasa kidogo- haya mapesa ya CL balaa
European Champion Clubs' Cup Prizes
Trophy and medals
Official trophy
Each year, the winning team is presented with the...
Breaking News
Gari la Kurusha Matangazo la Azam Tv limezuiliwa kuingia Uwanja wa Nyamanaga Kurusha Mechi ya playoff baina ya Pamba na Kagera Sugar. Hii imetokea baada ya kutokuwepo makubaliano...
Mechi ya kwanza kuwakutanisha mawinga hawa ilikua ni August 29 2009 na nyota ikaanza kuwaka siku ya kwanza tuu pale mjuzi wa asist Ribbery alipo mu asist mjuzi wa goli mara mbili nae hakufanya...
Bwana hee umepigwa mpira wa nguvu bonge la mechi ya maana full vikosi yani aliyekosa hii mechi amepitwa na mengi.
Timu kiba imesheeni wachezaji wakufa mtu ila wakachezea 6-3 Kituko sasa kaseja...
Saa 4 zilizopita:
Klabu ya uturuki Kasimpasa fc ilitangaza meneja wao mpya İbrahim Üzülmez ambaye aliwasili katika mkutano wa waandishi wa habari kusaini mkataba mpya.
Saa moja iliyopita...
Wadau kama kichwa kisemavyo..napatwa ukakasi kutafakari juu ya hali ya ghafla ya mahaba na ukaribu anaojaribu kuuonyesha Mkuu wa Mkoa was DSM na goli kipa wa Simba Aishi Manula..
Alianza kumsifia...
Azam TV hawaoneshi game zinazoandaliwa na Kampuni ya SportPesa, iwe lile kombe la SportPesa Super Cup linazokutanisha timu za Afrika Mashariki au hata mechi ya juzi kati ya Sevilla na Simba...
Soka la nje ni big deal na sote tunajua, Jana katika fainali za Uefa champions league, Timu zote liverpool na kenya zilikuwa na wakenya, upande wa liverpool ambao ni mabingwa wapya wa uefa...
What is it?
Tottenham vs Liverpool, the 2019 Champions League final. After two incredible comebacks - Liverpool vs Barcelona and Spurs against Ajax - we have an all-English final.
When is the...
Jurgen Klopp akipita karibu na Kombe la ligi ya Mbingwa baada ya Liverpool kushindwa 3-1 na Real Madrid katika fainali ya mwaka 2018.
Rekodi ya Jurgen Klopp ya kufikisha timu yake katika fainali...
Nimekuwa nashangazwa na Yanga kuendelea kujiita Mabingwa wakati wakijua wazi huu ni mwaka wa pili Mabingwa ni Simba.
Sasa hivi ukisoma taarifa zao za usajili utaona wameandika mchezaji fulani...
Sisi wahafidhina tumesikitishwa sana na matokeo ya jana ambapo Leo Messi na timu yao Barcelona imewapeleka Liverpool fainali kwa uzembe wao.
Matatizo yote yalianzia mechi ya kwanza, wakati wa...
Kama kuna jambo lililoumiza wapenzi wa mpira wasio washabiki wa mpira, ni kitendo cha Ramos kufanya niseme dirty game au faulo mbaya ambayo alimfanyia Mo Salah
Binafsi pia nilijiskia vibaya, ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.