Baada ya Klabu ya Simba kufika hatua ya robo fainali katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika na timu ya Gor Mahia kutolewa katika michuano ya Shirikisho, Tanzania imefika nafasi ya 12 kutoka ya 24...
Kuna jambo ambalo nadhani Jose anapaswa kulifahamu. Mahusiano yake na wachezaji wa team hzi kubwa.hasa wale ambao amewakuta.
Tuliona jinsi ambavyo alikosana na wachezaji wa Chelsea wakaamua...
Leo saa 4 usiku katika usiku wa mabingwa ulaya pale machinjioni, camp nou.. ndio siku ya kuprove hili janga la drake.
Jana roma wamewakataza wachezaji wao kupiga picha na msanii drake.. Leo...
Mkakati wa kukusanya shilingi bilioni moja (1,000,000,000) kutoka kwenye Mikoa yote Tanzania bara na Visiwani na kusimamiwa na Wajumbe wa Kamati Maalumu ya Hamasa waliogawanywa kila mkoa na kuitwa...
Pamoja na kutolewa kwenye michuano ya Club Bingwa Africa, wa TZ wote tunapaswa kuipongeza The Msimbazi Reds katika jitahada za dhati walizoonesha kwenye michuano hiyo. Aidha, Pongezi za dhati...
Hii ni taarifa ambayo tayari imezagaa mitaa yote ya Temeke , maeneo ya Chuo kikuu DUCE na Bar zote zinazozunguka Uwanja wa Taifa .
Tukio hili laweza kuwa onyo na angalizo kwa viongozi wengine wa...
Kocha wa Yanga, Mwinyi Zahera amewaambia klabu ya Simba hawana uwezo wa kumsajili mshambuliaji wa klabu ya As Vita Club Jaen Mark Makusu.
Kocha huyo amedai Sio Makusu tu hata wachezaji wengi wa...
Ni PSG Vs Man Utd
Mechi ya marudiano baada ya ile ya kwanza Man Utd kufa 2-0 nyumbani OT.
Mimi naamini Man Utd atashinda mechi ya leo japo inawezekana asipindue matokeo on aggregate.
Its not...
Moja ya malalamiko makubwa ya wadau wa mpira ni pamoja na ratiba mbaya ya ligi.
SASA hapa tunaona jinsi ambavyo hata muda unakuwa tatizo. Fikiria Kesho ni siku ya kazi halafu mpira unachezwa saa...
Kama umeshawahi kutana na mtu yoyote bar, akijiita papaa au pedeshzee basi utaona masifa yake, akiwa na Elfu30 utafikiri ana laki.
Basi hizo sifa zinatokana na wakongo na ndio maana wanajiita...
On April 15, 1989, tens of thousands of football fans had travelled to Sheffield's Hillsborough stadium to watch the FA Cup semi-final clash between Liverpool and Nottingham Forest.
In a bid to...
Wasalaaam
Kama tunavyofahamu fainali hizi zilianza jana kwa timu yetu Serengeti Boys kufungwa 5-4 dhidi ya Nigeria.Hata hivyo jana kulikuwa na mahudhurio HAFIIIIIFU (Dhaifu Sana) hii inatokana na...
Kwanza napenda kuuliza swali.
Je kuna Mtanzania yeyote aliyekuwa anaamini Simba SC itafuzu kwenye Michuano hii?
Kama yupo basi ni wale wasioupenda Uhalisia Wa Maisha. Yaani SSC iitoe Tout...
Baada ya Taifa stars kuingia katika Afcon 2019 kule Misri ,Tanzania na Mataifa mengine yaliyofuzu ni kama ifuatavyo
TANZANIA
KENYA
UGANDA
BURUNDI
DR CONGO
ANGOLA
NAMIBIA
SOUTH AFRICA...
Shabalala anacheza mpira lakini usiovutia, anarukia na kuparamia wachezaji wenzake uwanjani, anatumia fujo kunyang'anya mpira wenzake wanaojali afya zao wasiumizwe na uchezaji wake usiozingatia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.