Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Habari zenu wakuu, Niende kwenye mada moja kwa moja...bila shaka sote tunafahamu kuwa Kesho (tarehe 06/04/2019) Simba Sports Club ya Tanzania inaanza Kutupa karata yake ya mchezo wake wa kwanza...
20 Reactions
103 Replies
10K Views
TAARUKI MSIMBAZI, WAANZA KUTOFAUTIANA NA MWEKEZAJI Na SaleheJembe Hali ya sitofahamu imeanza kutokea huko MSIMBAZI baada ya MWEKEZAJI wao kuanza kutofautiana na Viongozi wa Club Kiongozi mkubwa...
2 Reactions
54 Replies
7K Views
Hebu eleze kulingana na vigezo hivi Speed(uharakawalionao je unazidiana au unalingana) Weight(uzito wao) Height(urefu) Check hizi highlight Kwa Anthony Joshua' Alafu check za Floyd mayweather...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Pambano hili limepigwa leo asubuhi katika jiji la New Jersey,hakika huyu binti wa Kimarekani Claressa Shields kutoka jimbo la Michigan ameonyesha uwezo mkubwa wa kusukuma makonde dhidi ya mpinzani...
0 Reactions
2 Replies
762 Views
Tuondoe ushabiki ushabiki wa Simba na Yanga na kadhalika Wekeni moyo mmoja wa kusaidiana kusajili wachezaji wazuri katika nafasi zote ikiwezekana kuanzia KIPA, MABEKI, VIUNGO NA WASHAMBULIAJI...
1 Reactions
2 Replies
763 Views
Hiki ni kikosi cha Brazil (Selecao) ambapo picha hii ilipigwa mwanzoni mwa miaka ya 2000. Je ni wachezaji hapo unawakumbuka, wataje
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari ya mda huu wakuu, naomba kwa anayefahamu anachokimaanisha Mo salah kwenye hii style yako ya kushangilia Sent usingJamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
923 Views
Kila msimu mpya, Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) hutoa mabadiliko ya “Sheria za Mchezo” zinazoelezea kiundani taratibu za mchezo huo. Zifuatazo ni Sheria 17 za mpira wa miguu. Sheria #1: Uwanja...
2 Reactions
4 Replies
29K Views
Hello GT. Mwenye kujua matokeo ya hii MECHI please let's me know .Niko Kijijini , Nadhani hii timu yangu itafanya vizuri Leo wakuu , ====== Kikosi cha Yanga dhidi ya Gor Mahia FC kuelekea mechi...
0 Reactions
90 Replies
16K Views
Mzuqa Cc chaliifrancisco
2 Reactions
0 Replies
594 Views
Mbumbumbu fc leo wanaenda kulitumbukiza taifa kwenye aibu nyingine kama ilivyo kawaida yao kulipaka tope taifa. Kama ilivyokua kwa manabii na wafalme mbalimbali enzi hizo wakionyeshwa matukio ya...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Chelsea leo anafuta ndoto za Majogoo za kutwaa kwa mara ya kwanza kikombe cha Premier Laague pale Anfield.
2 Reactions
45 Replies
4K Views
Tiger Woods completed one of sport's greatest comebacks to end an 11-year major title drought at the Masters on Sunday by claiming a fifth Green Jacket. A gritty two-under 70 clinched a one-shot...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakati Taifa Stars ikikata tiketi ya kushiriki Mashindano ya Mataifa ya Afrika na Simba kuingia Robo fainali ya Klabu Bingwa Afrika, CCM ilijinasibu kwamba hayo yametokea kwa kuwa ni utekelezaji...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Leo ulikuwa mchezo wa marudio kati ya simba ya tanzania na TP MAZEMBE ya congo. Simba imeshuhudia kichapo kwa lugha nyingine kipigo cha magoli manne kwa moja, Jiji la dar limezima,Tanzania leo...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Haji Manara ni mtoto wa Sunday Manara " Computer " Legendary wa Dar Es Salaam Young Africans of all the time. Haji Manara kama mtoto wa Legendary wa Dar Young Africans ambae almost utoto wake...
6 Reactions
95 Replies
11K Views
KILA LA KHERI CHAMA LANGU PUNGUZENI MAGOLI TULETE HESHIMA MJINI
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Hakika Mabingwa wa Soka la Kimataifa ni SIMBA SPORTS CLUB,wengine hawa ni ubabaishaji tu.Rekodi za Taifa letu hakuna Klabu yoyote Tanzania itakayothubutu kuikaribia na ndio maana Omba Omba Yanga...
4 Reactions
29 Replies
3K Views
Nawasubiri kwa hamu wale ambao ' walinidhaki ' mno pale niliposema kuwa tayari Simba SC tumeshatolewa katika hatua hii ya Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika na TP Mazembe waje tena waendelee na '...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom