Nafanya kuwanyunyizia vurugu za Simba kutoka vyombo vya habari vya kimataifa ikiwemo international reputedly social media.
Yakubu ni beki wa Azamu FC anaye maliza mkataba wake. Rais wa Ghana...
Yawekana Kocha wa Kibrazili Pitso Mosimane alikosekana katika mtanange uliofanyika katika uwanja wa Lucas Moripe ambapo Mamelodi Sundowns’ waliwafanyia kitu kibaya Al Ahly ya Misri kwa kuwafunga...
Kuna siku nilimsikiaga akilalamikia viwanja bongo ni vibovu ,nikajiuliza hivi afrika yetu hii ukitoa south africa na nchi za kiarabu hali ya viwanja vya mpira si inafanana?
Jamaa ni muongo na ana...
Wadau, nawaza kwa sauti, kwa mfano ligi ya Uingereza ikaisha na top 6 zikawa kwenye nafasi walizonazo kama zilivyo sasa, yaani Liverpool, Manchester City, Chelsea na spurs zikapita kwenda...
Mfanyabiashara na mdhamini wa zamani wa Simba, Azim Dewji ameitabiria makubwa klabu hiyo katika mchezo wa marudiano wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya TP Mazembe ya DR Congo...
BAADA ya klabu ya Simba kutinga kwenye Shirikisho la Soka la Mpira Afrika (CAF) wakihitaji kupewa mwongozo kwa nini wamebadilishiwa mwamuzi wa mchezo wao klabu ya Horoya AC kutoka Guinea wametuma...
Mchezaji mtata, Diego Costa amepatikana na hatia ya kumtukania refa mama yake mzazi.
Itakumbukwa jamaa alitoa matusi mazito kwa refa baada ya kulimwa red card wakati Atletico Madrid ilipokuwa...
Soka la bongo bana,Yanga imetangaza kumsajili Kelvin Patrick Yondani ,wakati Simba wakitangaza kumwongezea mkataba Kelvin Patrick Yondani toka mwaka jana 2011.Utata,kuna Kelvin Patrick Yondani...
Jamaa wa yanga utawasikia ,agh ndo basi bana mshatoka hata hivyo mmejitahidi kufika robo fainali,nani kakuambia wewee?spirit ya simba ya this time nimeipenda,hakuna kuridhika,we want more and...
Aman iwe juu yenu wakuu
Kama kichwa cha habal kinavyosomeka hapo
Hawa jamaa watauana mpira ni mkali hatari
Tiar juve anaongoza
Mkali ronaldo kashachana na kufamania nyavu
Sent using Jamii...
Leo Dunia itasimama kwa dakika 90 kushuhudia mtanange wa aina yake katika ligi ya mabingwa ulaya hatua ya robo fainali kati ya Man Utd Vs Barcelona mechi itakayopigwa katika dimba la Old Trafford...
Hatimaye mchezaji Mtanzania aliyekuwa akicheza soka la kulipwa nchini Sweden Haruna Moshi amerejea nchini na kusema hana mpango wa kurejea tena nchini sweden.
Tunaomba Agent wake aongee ukweli na...
Fifa imeifungia Chelsea kutosajili kwa misimu miwili kwa kukiuka taratibu za usajili kwa kusajili wachezaji chino ya umri WA miaka 18
==
Chelsea have been given a two transfer window ban by FIFA...
Hii Ni aibu kwa TFF na Board ya Ligi mpaka Sasa kwenye ligi kwenye ligi ya Tanzania Kuna vilabu vimebakiza mechi 5 kamaliza ligi huku Simba akibakiza mechi 16. Mpaka Sasa Simba hajacheza na hizi...
Group D #CAFCL
-Al Ahly Sc(Egy)
-Simba Sc(Tan)
-JS Saoura(Alg)
-Association Sportivè de Victorié/Vita Club(DRC)
Nimejaribu kuangalia Makundi yote manne yaliyopangwa Jana na CAF na nimekuja...
Nimeamini kuwa yule jamaa aliyesema wale jamaa ni mbumbumbu hakukosea ile barua ya kupinga kubadilshwa malefa wanaandika please find attached the letter sijui ndo nini kwa maandishi yale hata CAF...
Kwasasa huyu ndio kipa anayenikosha kwa uwezo wake mkuu wa kupangua mashuti ya timu pinzani yanayoelekezwa langoni kwake.
Kwa msimu sidhani kama ana mpinzani katika kuzuia mashuti, ni wakati sasa...
Bado nina Jezi za Kutosha tu za Timu ya Taifa ya Uganda ( The Cranes ) hivyo ambaye anataka anitafute haraka kwa PM ili nimletee hapo hapo alipo tena bure kabisa ili Jumapili wote tuzivae na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.