Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Africa nzima inayo hii habari. Timu tishio katika michuano ya Club Bigwa Africa inakutana na timu nzito TP Mazembe,zikiwa ni timu pekee Afrika Mashariki na Kati katika hatua ya robo fainali...
10 Reactions
506 Replies
39K Views
wanasimba.. vizuri tupate jibu la tatizo la simba ugenini ni nini? maana anafungwa kwa goal difference zaidi ya goli moja.. mbona timu zingine away zinashinda na hata sare zinapata ugenini.. ila...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habarini wanajamvi.... Hivi Simba tukiingia robo finally(ingawa ni miujiza) au tukitolewa/tukaishia nusu finally je mwakani tutapeleka timu nne? Naomba kueleweshwa... Ili Nchi husika ipeleke...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa uwekezaji wa simba inamaana kuwa inahitaji mafanikio ya ndani na ya njee sasa kwa baadhi ya wachezaji tuliyonao ni vigumu kufanikiwa. Hawa hawatakiwi kuwepo simba 1.tshabalala 2.gyan 3...
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Jamani kwa jinsi ninavyoona Leo Tottenham anashinda sijui nyie mnaonaje.Sababu ni kuwa anataka asipate aibu katika uwanja wa nyumbani.
2 Reactions
7 Replies
983 Views
Anaitwa - James Agyekum Kotei. Amezaliwa - 10.10.1993 (23). Nafasi - Kiungo mkabaji. Amekuzwa na kulelewa kisoka kwenye academy inayoitwa "Golden Foot Academy". (2007 - 2009) LIBERTY...
0 Reactions
85 Replies
16K Views
Hivi wakati haya mashindano ya vijana ya Afrika yanapangwa kufanyika Tanzania kipindi hiki hawakujua hali ya hewa itakuwaje hapa Tanzania.Baada ya Qatae kuchaguliwa kuwa mwenyeji wa kombe la dunia...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Aman kwenu Njoon tucheke Hahahahahahaaahahaaaa tp mazembe ilikuwaga ile ya samata ila hii ni kibonde kwa mchina lazima ife na imekufa kweli LONDON BOY Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
63 Replies
5K Views
Watanzania wote na wanaSimba mnatakiwa kujiandaa mapema. Kwa vipato vyetu kutungua suti dukani hiyo jumapili inaweza kuwa ngumu,anza kabisa kesho kuongea na fundi,mpe tahadhari ijumaa iwe imekuwa...
12 Reactions
31 Replies
3K Views
'Tumetuma malalamiko dhidi ya @CAF_Online kwa kufanya mabadiliko ya waamuzi wa mchezo wa marudiano wa #CAFCL tutakaocheza Jumamosi./We have formally lodged a complaint against CAF for the abrupt...
2 Reactions
65 Replies
8K Views
Wanamsimbazi na hata baadhi ya viongozi mpaka sasa hawaamini kama timu yao ndio imeukosa ubingwa wa Ligi Kuu Vodacom Tanzania Bara msimu huu, lakini moja ya wajumbe wa Baraza la Wadhamini wa klabu...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Hongereni sana Yanga kwa kujiunga na Mradi wa kusaidia Kaya Maskini "TASAF" Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Mmejitahidi sana, ndio nguvu zenu zilipoishia. Nawaona mkifungwa 3+ mkienda congo,mmeshndwa kuutumia uwanja wa nyumbani_
5 Reactions
50 Replies
5K Views
Shabiki lialia amekutana na bodi ya wakurugenzi ya Simba na kupewa ofa ya kwenda Congo kushuhudia game ya TP Mazembe. Shabiki huyo pia atasalia Dar kutazama mchezo wa nusu fainali dhidi ya...
7 Reactions
15 Replies
2K Views
Huyu ni shabiki wa Simba,Simba lialia ameanza safari ya kutoka Mbeya kuja Dar kwa miguu kuja kumshuhudia Mnyama Simba katika mechi yake na TP Mazembe
16 Reactions
198 Replies
24K Views
Tetesi za usajili kutoka klabu mbalimbali za Ulaya zikiwemo Chelsea, Arsenal, Liverpool, Man City, Man United, Barcelona, Real Madrid n.k leo Jumapili 07/04/2019.......... Chelsea...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Janny Sikazwe (aliyezaliwa Mei 26, 1979 Kapiri Mposhi) ni mwamuzi wa soka wa kimataifa wa Zambia. Safari yake ya mafanikio ya uamuzi aliianza kwenye mashindano ya COSAFA U20 mwaka 2008 wakati...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuelekea mchezo wa robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo wawakilishi pekee Afrika Mashariki na Mabingwa wa Nchi Simba SC Mnyama, atapapatuana na TP Mazembe siku ya Jumamosi Aprili 6, 2019...
6 Reactions
32 Replies
5K Views
Hii ilikuwa ni ile Barcelona yenyewe, yaani Messi, Iniesta, Xavi dhidi ya Celtic ya akina Victor Wanyama mwaka 2012 kwenye Uefa. Barcelona alikufa 2-1 licha ya muda mwingi wa mchezo kumiliki mpira...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
ni kuhusu gazeti la championi, so far nimeona matangazo mawili makubwa, posters za barabarani! kuna lile la buguruni sheli ambalo limetumia picha ya cristiano ronaldo, halafu kuna lile la mwenge...
1 Reactions
37 Replies
4K Views
Back
Top Bottom