Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Huyu mtu ni mpambanaji asiyekata tamaa na ambaye haki yake anaijua hasa !
4 Reactions
10 Replies
3K Views
Klabu za As Vita ya DRC Congo na zamalek ya misri zipo tayari kumnunua kwa Dola 200,000 ( ambazo ni sawa na Sh460 milioni),. Meneja wake alisema fedha hizo zitakagawanywa mara tatu, Simba...
3 Reactions
45 Replies
8K Views
efmtanzaniaRegrann from @tvetanzania - Kamati ya Rufaa ya Maadili ya TFF imetupilia mbali rufaa ya Ndg Michael Wambura aliyefungiwa maisha kujihusisha na soka baada ya kupitia hoja zake za kukata...
0 Reactions
63 Replies
7K Views
Pia, soma Wamiliki wa Uwanja wa Taifa wagoma kuwasha taa, sasa mechi zote kuchezwa saa 10 jioni - JamiiForums
0 Reactions
14 Replies
6K Views
Timu ya mpira wa miguu Yanga Afrika imbeibuka na ushindi wa magoli matatu huku vyavu zao zikiwa hazijaguswa. Magoli ya Yanga yamefungwa na Heritier Makambo(dk 20), Mrisho Ngassa(dk 53) na Ajibu...
3 Reactions
72 Replies
11K Views
Mahakama kuu yamlejesha Michael Richard wambula kwenye nafasi zake, yaani umakamu wa Rais pamoja na uenyekiti wa MKOA wa Mara, maana yake ni kuwa Nyamalani anapoteza sifa za kaimu makamu wa Rais...
7 Reactions
27 Replies
5K Views
I came across this website talking about the 1xbet bookmaker platform in Nigeria. I was shocked to even know that the bookmaker is in Africa. Please, since when has it been around?
0 Reactions
2 Replies
711 Views
VIFUATAVYO NI VIWANGO VYA FIFA KWA NCHI YA TANZANIA KWA WANAUME NA WANAWAKE KWA TAKWIMU HIZI INAONYESHA DHAHIRI KAMA WANAWAKE WA TANZANIA WANASAKATA SANA KABUMBU TOFAUTI NA WATANZANIA AU KUNA...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Leo nilibahatika kuangalia mechi ya mtibwa sugar ya confederation cup(caf)kupitia azam TV..kiukweli nimeshangaa sana,yani imekuaje hawa mtibwa wacheze mexhi kubwa kiasi hiki!?kwani yanga hawapo...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Kuna baadhi ya nchi zimeanza kuruhusu matumizi ya bangi. Je ni sawa kwa mchezaji kucheza mpira wa miguu ikiwa ni mvuta bangi? Kwasababu wachezaji walevi wa pombe wapo na wanajulikana ( akina...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa wenzangu wa camp nou, jamani tupo sawa kweli? Tukumbuke tuko No 2 msimamo la liga Psv ni timu yakuishinda 2-1 kweli? Tena wametukosa nyingi za wazi! Vipi tukikumbana na psg Kwa hali hii...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Nadhani hapa kila mtu anayo kumbukumbu ya timu zilizokuwako mtaani kwake enzi hizo akiwa bado kinda,wengine kwa kuzisikia wengine kwa kuziona live.Mimi kwetu kijiji zilikuwako za vijiji tu...
0 Reactions
66 Replies
9K Views
Mtibwa sukari wana wa madizini kutoka pale turiani morogoro leo watakuwa na kibarua kigumu dhidi ya Northern dynamo kutoka pale Ushelisheli, ikumbukwe kuwa Mtibwa wana zaidi ya miaka 14...
2 Reactions
32 Replies
5K Views
Rais wa zamani wa Shirikisho la Soka Afrika(CAF), Issa Hayatou na aliyekuwa Katibu Mkuu, Hicham El Amrani wapigwa faini ya USD Milioni 27.9(Zaidi ya Tsh. Bilioni 64) kila mmoja Mahakama ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Yanga ya kwea kileleni Yanga yampiga mtu miguu ya bajaji Wale wa Amber Ruthy wamenunaje!!??
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa heshima kubwa kabisa Leo simba inaanza safari ya kimataifa na inaanza na timu kutoka uswetu Nipo Taifa tayari kwa kuwaletea mpambano huu live Tayari watu wameshajaa nje ya uwanja hamasa Ni...
9 Reactions
248 Replies
27K Views
Back
Top Bottom