Shirikisho la Soka la Nigeria (NFF) limeshatuma malalamiko yao kwa Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) likidai kuwa timu ya wanawake ya Equatorial Guinea ilichezesha wanaume wawili kwenye...
Mimi nina waswas sana pale kuna kitu kinafichwa, na nisifiche kuna ubadhirifu wa pesa za club. Haiwezekani mtu anaejiamini akaogopa uchaguzi tena anagawa kaki eti watu wamshindikize tff na...
Hakuna sababu yoyte ya maana kwa nini kikosi ni duni. Kocha anamchango mkubwa kea kufanya vibaya, kucheza chini ya kiwango. Nawaona wachezaji hawana presha. Sioni sababu kwa nn Pogba anacheza...
Yani jamaa hafichi chuki zake kwa special one. Hata walivyomfunga juve jamaa bado anamponda tu utadhani alitamani mani wafungwe.
Mimi si shabiki wa Mani ila nawaombea washinde. Tena wawafunge...
Huyu jamaa Ronald na Mesi hawaingii kabisa.
Skills zake ni level ya zidane kipindi kile huyu ni lever ingine kabisa.
Kuna siku atauzwa hata paund Milioni 200 .
Baada ya MAN U kumfunga Juventus hapo jana ni rasmi sasa CHELSEA ndiyo timu pekee katika Ligi 5 bora Ulaya ambayo haijapoteza mchezo wowote tangu kuanza kwa msimu wa 2018/2019 katika mashindano yote
Nmesikitika sana na tabia za kipuuzi na kijinga walizoonesha wanayanga.huu ni ubwege. Manji hataki kuwa mwenyekiti.nyie wanaume mnawezaje lazimisha kuwa ninyi bado mnamtambua na mnalazimisha...
Mzuqa
Baada ya ushindi wao dhidi ya Juve Turin wachezaji wa Mani walionekana wenye furaha sana walpotua jiji la manchester. Hii pia imewaongezea morali kuikung'uta sitee wikendi hii.
Pogba...
Aliyekuwa mkufunzi wa klabu ya Chelsea Antonio Conte amekataa kufanya kikao na timu hiyo na anatishia kuwapeleka mahakamani kwa mshahara wake uliosalia, baada ya kufutwa kazi mwezi Julai huku...
Wanaweza wakashinda mechi bila ya kuwa na Vicent Company, wameshafanya hivyo mara kibao.
wanaweza pia shinda bila Sergio Aguero, na hili linaonekana mara nyingi tu. swali ni je ni wapi Man city...
Jose Mourinho jana alipoteza mechi ya pili mfululizo katika mechi 3 …Ni mara ya kwanza kwa Jose kufungwa 3-0 nyumbani katika Maisha yake….Hii inaongeza hali ya sintofahamu ndani ya kikosi cha...
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kupitia Kamati ya Maadili limemfungia maisha kutojihusisha na soka aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati yake ya Uchaguzi, Wakili Revocatus Kuuli baada ya kukutwa na...
Check out this 11 odd game
3614 UEFA Champions League
CSKA Moscow - Roma
X2 1.24
3615 UEFA Champions League
Valencia - BSC Young Boys
GG 1.78
3617 UEFA Champions League
Bayern Munich - AEK Athens...
Ni leo jioni kijana huyu ataibeba Tanzania kimataifa huko New York Marekani atakapo shiriki na wanariadha wengine 50,000 kutoka duniani kote watanzania tumpe sapoti kwa kumtia moyo.
Rekodi za...
Timu yetu ya taifa imeelekea South Africa kwa ajili ya maandalizi ya mechi dhidi ya Lesotho ajabu ni hili wametaja wachezaji tu Lakini viongozi hawajatajwa au ndo Yale mheshimiwa alisema wachezaji...
Wachezaji wa Leicester City wamewasili nchini Thailand kwa mazishi ya mmiliki wa klabu ambaye alifariki kwenye ajali ya helikopta. Jamie Vardy na nahodha wa klabu Wes Morgan ni baadhi ya wachezaji...
Wakuu,
Kwa kipindi kirefu najitahidi angalau niwe na mapenzi na hizi timu zetu, soka La ndani, nashindwa kabisa.
Mimi ni mpenzi Wa soka, na ni mzalendo haswa, ila mambo ya VPL, habari za soka LA...
Ukibet kwa Akili pesa ipo tatizo woga mbaya sana sasa hapa ningeweka 50,000 ningekamua 900,000 ila ukiliwa sasa unaweza kuonekana chizi ukatembea unaongea peke yako njia mzima....Kubeti ni zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.