Kwa elimu yangu ndogo katika maswala ya masoko ya mitaji na hisa najuwa kwamba uwekezaji kwa njia ya hisa ufata taratibu kazaa
Kwanza nilazima watafutwe wataalamu wakuthamanisha thamani ya timu...
Hii ni baada ya wapiga kura tuliotangaziwa awali kuongezeka kutoka 1400 hadi 1728 , wamezaana lini haifahamiki ! ikumbukwe kwamba Mwina Kaduguda anagombea ujumbe.
Hii si mara ya kwanza kwa Mwina...
Dakika 90 zimekwisha uwanja wa taifa jijini Dar es salaam kati ya Ndanda FC na Dar Yanga Afrika,
Yanga wamelazimisha sare ya Gori Moja kwa Moja bila kufungana,
Na wafungaji wa magoli ni Jafary...
MSHINDI NAFASI YA MWENYEKITI
-Swedi Mkwabi
WASHINDI NAFASI YA WAJUMBE BODI YA WAKURUGENZI.
-Asha Baraka
-Hussein Kitts
-Dkt Zawadi Ally
-Selemani Said
-Mwina Kaduguda.
MAONI YANGU:
Uchaguzi...
Patashika ya ligi kuu Tanzania (TPL), kuendelea tena leo Jumamosi, Novemba 3, 2018 kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja tofauti nchini ambapo mechi kali na ya kusisimua itakayovuta hisia za...
BENNO DAVID KAKOLANYA
MICHEZO 7
CLEAN SHEETS 6
GOLI 1
*KAMA KUNA KIPA MWENYE RECORD KAMA HII MPAKA SASA NDANI YA LIGI KUU ILETE HAPA, NAACHANA NA SOKA KABISAAAA*
Siku hiyo haitakuwa uwanja wa Taifa , lakini hatimaye soka la Tanzania litafanya muunganiko mmoja matata sana utakaokumbukwa milele .
Mungu zibariki Simba na Yanga .
"Kila mechi tunatengeneza nafasi za kufunga lakini kama washambuliaji hawafungi tutafanyaje? Mfano nafasi aliyopoteza Makambo kwa kichwa pale hata mama yangu angeweza kufunga,”
Mwinyi Zahera...
Uchaguzi SimbaSC, Crecentius Magori ametangazwa na Kaimu Rais wa Simba, Salim Abdallah kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simba SC Holding Limited.
Magori ni mwenyekiti wa kamati ya...
Nadhani TCRA wawe pia wanatathmini ubora wa kile wateja wanachopewa.Hiki kipindi kina Quality ndogo sana.Nusu nzima wanaweza wahoji masao bwire na Tobias kifaru.Hakuna maandalizi kabisa.Kipindi...
Chama cha Soka Mkoa wa Mara kimeilalamikia CCM kwa kuruhusu tamasha la muziki (Fiesta) kufanyika katika Uwanja wa Karume na hivyo kuharibu eneo la kuchezea mpira. Chama hicho kimesema kilitumia...
Mwanasoka Vincenzo Iaquinta aliyekuwa akiichezea Klabu ya Juventus na Timu ya Taifa ya Italia amehukumiwa kwenda jela miaka 2 kwa makosa ya kujihusisha na Kikundi cha Kihalifu cha Ndrangheta...
Kocha wa Timu ya taifa ya Libya ambaye amewahi kuzifundisha kwa nyakati tofauti timu ya taifa ya Kenya na vilabu vya Usm Alger na Es Setif bwana Adel Amrouchi amekunwa na kiwango cha kiungo Fei...
Nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania amepewa heshima ya kuvaa jezi maalum kwenye mchezo wa leo wa ligi kuu ya Ubelgiji kati ya timu yake ya KRC Genk dhidi ya Club Brugge kutokana na kuwa kinawa wa...
Nipo hapa kwenye kibanda umiza na jamaa wawili watatu tunatazama mpira wa Yanga na Lipuli. Kwa kweli Yanga ni tia maji tia maji. Mpaka sasa dakika ya 65 wana goli 1 tu.
Mpira umepoa...
Waungwana Kristu/Asalyaleykum....
Waungwana mi ni mgeni kiasi katika biashara hii ya kubeti.
Naombeni mnijuze kampuni gani zuri kwa ajili ya kubet ni lini? Kati ya MBET, SPORTPESA, MERIDIAN na...
Kwa mujibu TFF inayoongozwa na ma-nazi wa simba, kupitia afisa habari wake Clifford Ndimbo imeeleza kuwa Mohamed Isa Banka ni mchezaji halali kabisa wa Mtibwa Sugar, kwani Yanga walishindwa...
Fainali ya kwanza ya michuano ya Caf kati ya Al Ahly na Esperance.Saizi ni Half time Al ahly wanaongoza bao 1-0
Dakika ya 58 Al Ahly wanapata bao la pili
Mechi inaonyeshwa live zbc 2
Watanzania akili zetu zimelala sana wanao taka Manji aendelee kuwa mwenyekiti sio kama ni Kiongozi mzuri ila eti ni kwa sababu ana pesa
Hayo mambo yamepitwa na wakati kilabu kubwa kama Yanga kuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.