Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Tham khảo luận văn các đề tài luận văn luật hành chính, luận văn thạc sĩ các chuyên ngành như luật kinh tế, luận hình sự, luận dân sự, luật hành chính,… Tham khảo thêm những đề tài, tài liệu để hỗ...
0 Reactions
6 Replies
730 Views
Msemaji wa Ruvu Shooting, Ndg. Masau Bwire kaanza tambo zake kua lazima wamkalishe Mnyama 28/10/2018. Namnukuu... Tuko mawindoni, tunamuwinda Simba wa Kariakoo, lazima tumuangamize. Kwa kutumia...
1 Reactions
38 Replies
5K Views
Mshambuliaji tegemezi wa club ya Everton Sigurdsson G raia wa Iceland ukimlinganisha na mshambuliaji wa club ya KRC Genk Samata M raia wa Tanzania utaona sababu kubwa ya Everton kumtaka samata...
3 Reactions
30 Replies
4K Views
Usiku wa kuamkia Leo Bondia Hassan Mwakinyo alimgaragaza bondia Joseph Sinkala kutoka Dar kwenye round ya 2 kwa TKO na hivyo Mwakinyo kupata mikanda 2. Jionee jinsi Bondia Sinkala alivyopigwa TKO
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kivumbi cha ligi kuu Tanzania (TPL) kuendelea tena leo Oktoba 28, 2018 kwa mechi nne kupigwa katika viwanja tofauti huku gumzo likiwa kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam saa 1:00 usiku...
7 Reactions
530 Replies
37K Views
Mtaje yoyote unayemjua hapo pichani ikiwezekana na sifa yake moja tu
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Hii imetokea kwenye game kati ya Wenyeji Leicester dhidi ya wageni Westham United ambayo imemalizika kwa sare ya goli 1- 1 Taarifa za awali zinaonyesha kwamba Mh Mwenyekiti hakuwemo ndani ya...
3 Reactions
32 Replies
6K Views
Huyu jamaa huwa sielewi kabisa.ikitokea akaenda kuchezea team yake ya Taifa huwa kama anaenda kunoa makali.akirudi anarudi na makali mapya. Nadhan TFF waangalie suala hili kwa umakini isije ikawa...
8 Reactions
16 Replies
2K Views
Salamu, Jana mida ya Saa 1 hivi nikiwa live TBC Radio,nikisikiliza matangazo ya mpira wa Simba na RUVU, MATANGAZO YALIKATIZWA GHAFLA NA KUJIUNGA NA IKULU ! Kwa kuwa mimi TBC huwa nasikiliza mpira...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wana JF, Nimefuatilia baadhi ya Michezo kwa baadhi ya timu na kugundua kuwa kuna uonevu wa makusudi au kutokujua. Michezo inayozihusisha Simba na Yanga zinachezwa jioni saa 10 kama timu...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Mchezaji wa timu ya Soka ya Diamond Trust Bank (DTB), Murshid Ally (mwenye jezi ya rangi nyekundu) akiwania mpira na mchezaji wa Benki ya Afrika Tanzania (BOA) Hussein Rajab katika mchezo wa ligi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
'Tawi la Yanga lazidi kupukutika'.. ndivyo waweza kusema juu ya Singida United ambao ni 'tawi' la Yanga. Hii inakuja baada ya beki wao kisiki, Mganda Shafiq Batambuze kusaini rasmi mkataba wa...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
kama kawaida mwana mbagala katupia dakika ya 84 ila kama kawaida ya ujinga wa defence ya genk goal likasawazishwa dakika ya 90 lakini bado wanaongoza ligi Samatta kafikisha goals 8 yupo kwenye...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Timu hii ilidharaulika sana hasa msimu huu.Ajabu,pamoja na ubovu wao na kudharauliwa kote huko,KILA MECHI WANASHINDA! Ni nini SIRI ya MAFANIKIO YA TIMU HIYO ILIYOCHUKULIWA POA HAPO KABLA?!
7 Reactions
44 Replies
4K Views
Nashangaa Mourinho anavyohangaika kumsajili Nemanja Matic au Eric Dier kama viungo wa ulinzi yaani namba 6. Kwanini asimsajili Sergio Busqet, kiungo matata katika nafasi ya Defensive Midfielder...
32 Reactions
276 Replies
29K Views
Wakazi wa Dar kupitia vhama cha mashabiki wa soka wamemuomba Mkuu wa mkoa wa Dsm mh Paul Makonda pamoja na mfanyabiashara maarufu mzee Mengi wawskodie basi litakalowasafirisha hadi Lesotho...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imepanda katika list ya viwango vya soka vya dunia FIFA iliyotolewa hii leo Alhamisi Oktoba 25, 2018 Katika viwango hivyo vilivyotolewa na FIFA, Taifa Stars...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Ni Europa league, Genk vs Bestikas ambapo Samatta atacheza dhidi ya mlinda mlango mbovu Karius aliyekuwa Liverpool. Lne up ishatoka Samatta kaanza kama kawa
4 Reactions
40 Replies
5K Views
An elderly Brighton fan has died after being taken ill before their Premier League game against Wolves. The club said the fan attended the home game at the Amex Stadium with his son and was...
2 Reactions
2 Replies
680 Views
Mo Salah wa msimu uliopita sio huyu wa msimu huu. Kasi ya kufunga imepungua sana,umakini ndani ya box la adui umepungua pia, amekuwa ni mchezaji mwenye papara na kupoteza mipira kirahisi sana. Je...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom