kijana wa Kibrazili bado mdogo tu miaka 27 kwa sasa akiwa na pacha wake Rafaeli,hawa wote wakiwai kukipiga pale Old Trafford chini ya Sir Alex Ferguson.
Fabio Bana mpira wa miguu umekua hauna...
Hii ilikuwa kombe la dunia 2006
Hapa ni namna wajerumani walivyoona
Hapa ni namna Wafaransa walivyoona
Hapa ni namna waitaliono walivyoona
Hapa ni namna wamarekani walivyoona
Na hivi...
Everton will become the first ever English Premier League team to play in Tanzania when they go there for a pre-season friendly.
The match will be played at Dar-es-Salaam's National Stadium on 13...
KIUNGO wa Yanga, Mzimbabwe, Thabani Kamusoko amerejeshwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya nchi yake kwa ajili ya mchezo wa kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2019 dhidi ya...
Hongera sana Rais wa TFF Shabiki mkubwa wa Yanga.Tunakupongeza Kwa kumtaarifu Rais wa FIFA Juu ya klabu yako ya Yanga kutwaa Ubingwa wa Tanzania bara.Tunakuomba uzidi kuitangaza Yanga Kimataifa zaidi.
Manchester United wameshinda fainali ya Kombe la Europa kwa kuifunga Ajax Amsterdam kwa mabao 2-0 mjini Stockholm Sweden.
Magoli ya Paul Pogba na Hendrick Mkhitaryan yameipa United sio tu Kombe...
This season is the third in which the winners of the UEFA Europa League will gain automatic entry into the UEFA Champions League.
Manchester United enter 2017/18 UEFA Champions League group...
FYI-Zawadi ya mfungaji bora wa ligi ya EPL ,inayojulikana kama Premier League Golden Boot ,ambayo Harry Kane amechukua kwa mara ya pili mfulilizo ,mfungaji bora huwa anapewa kiasi cha £1,000 kwa...
Meneja wa Arsenal Arsene Wenger amesema utata kuhusu hatima yake katika klabu hiyo huenda ulichangia kushindwa kwa klabu hiyo kumaliza katika nafsi nne za kwanza katika Ligi Kuu ya England.
Hata...
Ndugu zangu wana JF nina ombi mimi ni mtumishi wa serikali katika halmashauri moja ya Mkoa wa Mtwara, nimebahatika kumuona mtoto mmoja ambae uwezo wake kisoka (football) nadiriki kumfananisha na...
Hapo patamu sana hebu angalia safari hii ya usanii wa bodi ya ligi na kamati ya sheria na hadhi ya wachezaji.
1:Simba SC yapeleka malalamiko kuwa Kagera Sugar imemchezesha Mohammed Fackh ambaye...
STRAIKA aliyeifunga Simba mara nyingi kwenye rekodi za mashindano yote, John Bocco ‘Adebayor’
STRAIKA aliyeifunga Simba mara nyingi kwenye rekodi za mashindano yote, John Bocco ‘Adebayor’...
Nimesikia hawa wazee wa Simba wameniudhi sana,na Mimi ni mpenzi wa Simba kindaki ndaki.Ninachukia sana jinsi wanavyomsema Dewji!
Yaani hawa mizee inaudhi sana.Hii mizee inarudisha nyuma sana...
#SpotiHausi ni kipindi cha #Michezo kinacholetwa kwako na #GlobalTVOnline kila #Alhamisi saa 10:00 jioni.
Wachambuzi wa michezo Saleh Jembe, Wilbert Molandi, Philip Nkini watakupa madini yote...
Nianze kwa kuwapongeza washindi wa ligi yetu ya mpira hapa Tanzania bara Dar Young Africans, pia pongezi ziende kwa vilabu vyote shiriki na shindani katika ligi hii.
Siku ya jana tumeona zawadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.