Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Pamoja na Abdi Banda kueleza anakwenda nchini Afrika Kusini kucheza soka la kulipwa, taarifa za uhakika kutoka ndani ya Simba, zinaeleza tayari wachezaji hao walishazungumza na uongozi wa Simba...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Leo timu ya Simba sports club imepeleka kombe lao waliloshinda dhidi ya Mbao Fc katika uwanja wa Dodoma Jamhuri na kuamsha shangwe kutoka kwa wabunge.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Alikuwa na miaka 16 tu mwaka 1993 wakati anavaa jezi ya Roma lakini tarehe 28 siku ya Jumapili akiwa na miaka 40 amechoka anavua jezi na kuamua kupumzika. Huyo ni Francesco Totti moja kati ya...
6 Reactions
17 Replies
2K Views
Pumzika kwa amani Shose Wazza Scholes Fidelis, msichana aliyefariki katika ajali ya gari akitokea kuitazama timu yake Simba kutoka Dodoma. Alikuwa ni shabiki mkubwa wa Soka akisapoti timu za Simba...
4 Reactions
51 Replies
10K Views
MWILI wa marehemu Shose Fidels Alhamisi utasafirishwa kwenda Moshi mkoani Kilimanjaro kwa mazishi yaatakayofanyika Ijumaa. Taarifa ya familia ya marehemu imesema kwamba mwili wa mpendwa wao...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hili halivumiliki hata kidogo na tunataka maelezo ya kutosha kutoka TBC1 na ikibidi hayo maelezo yafuatwe na msamaha wa Kutukuka kwa Wana Simba SC wote duniani kwa kitendo cha Kimakusudi kabisa na...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Ndo kusema wapinzani washajua mbinu za Luis enrique tangu afungwe na Man city UEFA cup hana matokeo mazuri kivile nyumban kaenda sare dhidi ya Malaga na Real Sociedad Mwenzake Zidane ni Kicheko...
3 Reactions
91 Replies
7K Views
hapa nakuletea mbabe wa wababe nchini Tanzania kwenye msimu huu unaoisha, kumbuka kuwa namba hazidanganyi... angalia hapa, 1.Simba imefika fainali zote muhimu kuanzia ile ya mapinduzi hadi FA...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Sasa naanza kuelewa kwanini Manji ameamua kujiudhuru,sasa nafasi ya quality group au Manji ipo wapi hapo [emoji23] [emoji23] Sports pesa wametoa 900M hivyo hakuna mdhamini yeyote atakayeruhusiwa...
3 Reactions
30 Replies
9K Views
Mwenye matokeo ya GHANA vs MALI U-17 mechi ya Jana anisaidie
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Dodoma. Siku moja baada ya klabu ya Simba kutwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho, imepata mwaliko bungeni. Simba iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mbao FC ya jijini Mwanza, bao...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari waungwana, Leo bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania limepata ugeni mwingine wa wanamichezo, klabu ya Simba SC imehudhuria kama wageni katika kipindi cha asubuhi. Mabingwa wa soka...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Leo ndio fainali kombe la ASFC kaa tayari tuwe pamoja Vikosi vya vitakavyoanza. Bingwa wa hapa ndio atawakilisha kwenye kombe la Shirikisho Afrika CUF. Mpira umeanza rasmi Mbao fc 0-0 Simba...
3 Reactions
633 Replies
68K Views
Leo nahodha wa club ya simba sports club mkude amekunusurika Kifo katika Ajali iliyotokea maeneo ya moro, wakati wakitoka Dodoma baada ya kumaliza mechi yao ya jana dhidi ya Mbao Fc na kushinda...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
FA Cup Za Leo Celtic vs Abardeen= Celtic Winner Simba Vs Mbao= Simber Winner Arsenal Vs Chelsea=? Alaves Vs Barcelona=? Tusubiri Sasa
0 Reactions
2 Replies
726 Views
safari ya matumaini ya timu mbovu ya man utd inafikia ukongoni leo kwani celta vigo watashinda 2-0 na kuiacha man u ikikosa nafasi ya kuingia fainali. Jana imeshushwa hadi nafasi ya 6 baada ya...
1 Reactions
66 Replies
6K Views
Kuna mtu anaweza nieleza la var ball ni nani? anahusika na nini hasa? watoto wake wako wangapi? why ana umaarufu? whats so special about him na his family? nimesikia kuna kiatu wanatoa wauze...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Wale mlio dodoma uwanjani au mliopo kwenye tv tunaomba updates
2 Reactions
49 Replies
5K Views
Ningependa tu kuwakumbusha, Ni kitambo mno tangu muinyanyue tuzo ya Bingwa wa VPL... Sina uhakika kama mnajua hata uzito (in Kg) wa ndoo ya VPL.... Je mnajua kuwa 2013 sio Leo, Jana wala Juzi...
0 Reactions
6 Replies
870 Views
Ukiangalia jezi za Timu mbalimbali kuna nembo zinaweza kuwa za wadhamini wao au kutangaza biashara zao binafsi. Tuangalie Nembo hizo na Maana yake japo nyingine ni ngumu ila naimani hapa...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Back
Top Bottom