Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Mchezaji wa tenisi nambari mbili kwa sasa duniani, Serena Williams amejitokeza katika mitandao ya kijamii na kuandika kuwa ni mjamzito. Mwanadada huyo mwenye mika 35 aliweka picha yake kwenye...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Ni leo hii majira ya saa tatu na dakika arobaini na tano (09:45) usiku kwa majira ya Afrika Mashariki katika uwanja wa OLYMPIASTADION BERLIN ulioko katika jijila Berlin nchini Ujerumani mchezo wa...
2 Reactions
886 Replies
51K Views
Viongozi Na wanachama wa Simba kuweni makini Na sakata la Pointi 3 zinazopiganiwa Na klabu ya Kagera.Kwa taarifa yenu Yanga iko nyuma ya klabu ya Kagera wakishirikiana Na uongozi wa Juu wa TFF...
4 Reactions
69 Replies
10K Views
Mechi ya real madrid na Bayern Munich ilikuwa ovyo kabisa, Refarii alikuwa amedhamiria kuihujumu Bayern Munich. Kadi nyekundu aliyopewa Vidal ilikuwa feki kabisa na kuacha pengo kubwa kwa Bayern...
2 Reactions
41 Replies
3K Views
Azungumza kwa hisia sana akidai malinzi kaapa simba kutochukua ubingwa
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Siku moja baada ya kamati ya haki na hadhi za wachezaji kukaa kikao na kujadili mambo mbalimbali ikiwemo suala la Simba kupewa point tatu dhidi ya Kagera Sugar kwa madai ya kumchezesha mchezaji...
0 Reactions
48 Replies
11K Views
Chelsea na Tottenham zimetawala kikosi cha wachezaji 11 bora wa Ligi ya Premia msimu huu ambacho kimetangazwa na Chama cha Wachezaji wa Soka ya Kulipwa Uingereza. Klabu zote mbili zina wachezaji...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Leo ni tarehe 19/4 Ba= 2+1+19=22 Ju=10+21+19=50 Wote wana namba shufwa , hawalingani na tarehe ,wanalingana na mwezi Hivo hii mechi naipa droo NB:ni mtizamo wangu tu
21 Reactions
137 Replies
19K Views
Hawa Kibibi Kizee cha Turin wamefanikiwa kutoruhusu nyavu zao kuguswa na nyumbani na Ugenini na Timu za Barcelona hii ni Kusema wanaukuta mgumu usioruhusu Risasi kupenya. mchezo wa jana pale...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu nipo hapa naisubiria kwa hamu mechi kati ya Celta Vigo vs Genk ya kina Samatta Mechi ya leo Genk wakiweza kusonga mbele,basi Mbwana Samatta aatakuwa kajiwekea historia kubwa sana huko mbele...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Wanajamii Leo naona Barca wanaaga mashindano ya UEFA kibibi kizee kina nafasi ya kufanya vizuri labda wabebwe kama mechi yao na PSG.
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Mchezo kati ya klabu ya Barcelona dhidi ya Real Madrid umewadia. Mechi hii yenye mvuto kwa ulimwengu wa Soka inatarajiwa kupigwa kwenye Dimba la Nou Camp majira ya saa kumi na mbili na robo jioni...
2 Reactions
116 Replies
11K Views
Real Madrid imeingia nusu fainali ya klabu bingwa ulaya mara 7 mfululizo tangu 2011 Ronaldo ndiye mchezaji wa kwanza kufikisha magoli 100 katika kombe la klabu bingwa ulaya Ronaldo ndiye...
6 Reactions
9 Replies
1K Views
Mkae mkijua kama kesho Juve akimtoa Barca, Italia inachukua nafasi ya Uingereza katika nchi zinazotoa vilabu vinne UCL. So msimu ujao England itawakilishw na vilabu vitatu. Hapo hamtakuwa tena...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Utabili wa Leo unaonesha man u anashinda Ma=13+1+20=34 An=1+14+20=35 So wale wa kubet kaz nikwako weka mzigo wa laki tatu uibuke bilionea
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Refa msaidizi maarufu kama lineswomen huko brazil amesababisha mfadhaiko kwa wachezaji baada t shirt yake kulowa jasho wakati mchezo ukiendelea
2 Reactions
18 Replies
4K Views
Kheri ya mwaka mpya wakuu, Nimekuwa mfuatiliaji wa ligi kuu ya Uingereza maarufu kama EPL kwa muda sasa, nimeshuhudia wachezaji wa kila aina wakicheza na kustafu soka rangi tofauti blacks and...
1 Reactions
40 Replies
5K Views
UEFA imezifungia timu za Lyon na Besiktas kushiriki michuano ya Ulaya kwa miaka miwili kutokana na fujo za mashabiki --------- Lyon and Besiktas have been given suspended bans from European...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Tujadili machache kuhusu UEFA kwa hatua hiz chache zilizobaki.. Am expecting: Semi final RM vs Monaco ATM vs Juventus Final RM vs Juventus Victory: RM
1 Reactions
7 Replies
833 Views
Back
Top Bottom