Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Tarehe 21 Jan, Kimondo iliiandikia TFF barua kuomba pesa zao za FA ili zitumike kusafirisha timu kwenda Ruvuma kucheza na JKT Mlale. Feb 4, Kamati ya TPLB ikakaa na kuishusha Kimondo FC...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Haya haya tena , wakuu kama tunavyofahamu leo ndio ile fainali tuliyoisubiri kwa muda mrefu . Karibuni . ................................. Cameroon wamefanikiwa kuchukua ubingwa na kombe la...
1 Reactions
147 Replies
14K Views
Really captivating story-amazing. Trending: THE SHOCKING CONFESSIONS OF A KENYAN UBER TAXI DRIVER
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Team yetu ya Yanga ipo comoro. Najiuliza imemwacha manji dar au alifanikiwa kuachiwa wakaenda naye?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tupo live uwanja wa taifa hapa kukuletea matangazo ya moja kwa moja ya Moira kati ya Simba Taifa kubwa na Tanzania Prison ya Mbeya Mpaka sasa Dakika ya 42 mpira ni mkali sana na Simba inaongoza...
3 Reactions
48 Replies
9K Views
Kuna matangazo yanatolewa na wakuu wa wilaya na mikoa kuwa siku ya jumamosi ni siku ya mazoezi, kutakuwa na mchaka mchaka hii yote ni kujenga afya za watanzania. Kwa Dodoma utaanzia bungeni hadi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ukiangalia mapokezi Aliyopata Sadio Mane Mchezaji wa Liverpool Raia wa Senegal aliyekosa Penati dhidi ya Cameroon utajua kwamba Wazungu wameanza kutambua michango ya watu Weusi anzia kwenye mpira...
3 Reactions
25 Replies
6K Views
Wakuu nahitaji kujua unapobet online na ukashinda hasa sisi watu wa mikoani pesa unaipataje?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna audio inasambaa Whatsapp muongeaji ana sauti kama ya Jerry Muro akiwa anataja watumiaji wa madawa. Naomba mliokutana nayo hiyo ni sauti yake ama wametengeneza, wasije mchafua kijana wa watu...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
League tight kuwania kushiriki Uefa.. sio ubingwa.. 2.Spurs 50 3.Arsenal 50 4.Man city 49 5.Liverpool 49 6.Man united 48 hapo mtu akizubaa tu amekuwa wa sita:):):):)
1 Reactions
1 Replies
778 Views
Raisi mpya wa FIFA Gianni Infantino anaonekana kutaka kubadili sola kabisa.Infantino anaonekana kuondoa kila kitu cha Sepp Blatter na kuleta vyake.Baada ya kuongeza timu zitakazoshiriki kombe la...
9 Reactions
105 Replies
14K Views
Na Cosmasy Choga Siku moja baada ya mkuu wa mkoa wa Dar es salaam kutaja orodha ya watu wanaodaiwa kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya akiwemo mwenyekiti wa yanga Yusuph Manji...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Kama ambavyo UZI huu unasomeka kwenye kichwa cha habari, naomba uwe maalum (stick thread) kwa mashambiki wa mpira wa timu zote za Ligi kuu ya Uingereza (EPL) kukutana, kwa lengo la kujuzana...
5 Reactions
72 Replies
6K Views
TANZANIA YAZIDI KUPOROMOKA VIWANGO VYA FIFA Shirikisho la soka Ulimwenguni (FIFA) limetoa orodha mpya ya ubora wa viwango vya soka Duniani kwa nchi Wanachama , na Vinara wake bado ni Argentina...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Na Cosmasy Choga Binadamu huzaliwa na kupitia hatua zaukuaji na hawezi zikwepa,kwanza ni kutambaa na pili ni kusimamia vitu ndipo sasa hutembea kidogokidogo. Ndivyo ilivyo katika shule...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naona mwenyekiti wetu amepaniki kiasi kwamba anahusisha mambo yqke binafsi na uwenyekitu je wanayanga tutaadhirika ama tujipange upya
2 Reactions
38 Replies
4K Views
Watu 17 wameripotiwa kufariki na wengine 60 kujeruhiwa vibaya baada ya mkanyagano kwenye uwanja mmoja wa mpira nchini Angola. Mkasa huo umetokea katika mji wa kazkazini mwa nchi hiyo Uige na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi (29) amenunua nyumba ya jirani yake sababu walikuwa wakimsumbua kwa kelele. ===== Lionel Messi once bought his neighbours' house to keep down the noise...
1 Reactions
6 Replies
8K Views
Yanga kwa sasa inamiliki makocha wanne bora afrika mashariki.Baaada ya uteuzi wa Lwandamila kuwa kocha mkuu wa Yanga klabu hiyo kongwe na maarufu nchini ilimteua aliekuwa kocha wake Hans Pluijm...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Arsenal ni sharti iamini kwamba bado inaweza kushinda ligi ya Uingereza msimu huu licha ya pengo la pointi 12 kati yake na viongozi wa ligi Chelsea ,kulingana na mkufunzi Arsene Wenger. The...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom