Wanabodi.
Mpaka sasa Arsenal ameshakula 5, ukiangalia mipango ya huyu mtu anajiita kocha ni ile ile miaka yote iliyopita. Anafungwa kabla hajaingia uwanjani kinachobaki ni kujua tu goli lakini...
Kama kawa kama dawa mwana! Leo nawaletea live updates za mechi kati Stand Utd "chama la wana" na Mbeya City "Timu ya kizazi kipya" kutoka uwanja wa CCM Kambarage Shinyanga
Meneja wa Arsenal Arsene Wenger amesema kwamba hana shaka yoyote kwamba atakuwa bado anafanya kazi ya umeneja msimu ujao, Arsenal au "kwingineko".
Wenger, 67, alikuwa akiongea baada ya moja ya...
Mpira wa miguu soka unaongoza duniani ikiwemo Tanzania kwa kuwa na mashabiki wengi hadi kwenye ngazi ya vitongoji. Wapenzi wa mpira wa miguu wanapata arosto kama wakishindwa kuziona au kusikiliza...
TRA wamezuia akaunti zote za TFF ikiwamo ile yenye hela za kuendesha Ligi ya Vodacom.. TRA wanadai kulipwa kodi ya mishahara ya waliokuwa makocha wa timu ya Taifa kuanzia kwa Mbrazili Maxio Maximo...
Habari za Simba kupatikana kupitia mtandao wa Vodacom
Klabu ya soka ya Simba kwa kushirikiana na kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania leo zimezindua huduma mpya inayojulikana kama Pata...
nimekaa nikawaza bado sijapata jibu nimeona niwashirikishe wenzangu mnisaidie jibu hivi sisi wa Tanzania mchezo gani tunouweza tukajivunia kama taifa Maana sasa hivi vijana wamebaki ushabiki wa...
Huyu dogo Bradley Lowery shabiki wa Sunderland aliambiwa na madokta kwamba zimebaki siku60 tu afe ambazo zimetimia jana,aliomba kabla hajafa aje shujaa wake mshambuliaji Jermaine Defoe awe nae...
Salaam wakuuu,
Dunia haitaishiwa maajabu,
Video hapo chini inaonyesha kitu kilichowekwa kwenye goli kinachozuia nyasi kutikisika katika mechi moja inayohusisha timu mbili zinazoshiriki ligi kuu...
Leo ndio ile hatua ya mtoano ya 16 bora inaanza, mechi za Leo ni
Benfica Vs Borussia Dortmund
PSG Vs Barcelona
Mechi za Kesho:
Bayern Munich Vs Arsenal
Real Madrid Vs Napoli
Karibuni kwa...
Jana PSG wameshinda goli 4 kwa 0 dhidi ya barca.
Sheria na kanuni za UEFA zinasema timu moja isipoingia uwanjani wapinzani wake wanapewa ushindi wa points 3 na goli 3.
Swali je ?PSG wakiamua...
Mapema kesho mabingwa na washindani katika mashindano ya klabu bingwa barani Afrika, watawasili katika uwanja wa ndege wa J.K.Nyerere majira ya saa nne na nusu asubuhi.
Shime nyote mapema kesho...
Leo kuna mechi kali kati ya arsenal vs bayani Munich ni chaneli gani ambayo inaweza kurusha mechi hiyo katika ving'amuzi vya startimes na azam nipo eneo gumu dstv kupata ni changamoto eneo hili...
PASS YA IBRAHIM AJIBU vs TZ PRISONS
Na prof. Mikazo
Jana kulikuwa na mchezo mkali sana wa wa ligi kuu ya vodacom mabingwa wa muda wote wa CECAFA dhidi ya TZ Prison na Simba kuibuka na ushindi...
Ndiyo, Manji anataka kuinunua Yanga na pamekuwa na figisufigisu kibao. Naliangalia timbwili hili la vita ya mihadarati kama mtihani kwa wana Yanga juu ya sifa na maadili ya mteja wao mtarajiwa...
Ndiyo hivyo tena,vita hii inayoendelea pamoja na mambo mengine lkn upo mkono wa mtoto wa mstaafu mkubwa wa nchi atakaye bwana Manji aondoke ktk klabu hiyo na tayari alishawashawishi jamaa zake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.