Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Salaam wakuu Poleni namajukum yakutwa Naimani sote tuwazima nandivyo Niombavyo Naimani humu ndani kuna wapenzi nawadau wasoka Wengi sanaa naomba kwa eshima na taadhima niweze kuleta ombi...
0 Reactions
4 Replies
897 Views
Kwa mara ya kwanza Tanzania imepangwa kwenye kundi" jepesi" .Kwa maana ya Uganda, Cape Verde na Lesotho. Mara zote tulikuwa tukipangiwa vigogo wa soka Afrika.Tushindwe wenyewe. Njia nyeupe kwenda...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Hii ilikuwa huko Iringa,Refa msaidizi alipoamua kuwatandika vichwa wachezaji "jeuri" waliotaka kumpiga muamuzi wa kati kwa madai kuwa anapeleka mambo kwa upendeleo. Wachezaji hawa wawili walikula...
3 Reactions
39 Replies
4K Views
Mashindano ya Afcon 2017 nchini Gaboni yamegubikwa na uchawi. Jionee mwenyewe hapa
3 Reactions
49 Replies
8K Views
Wakubwa wenzangu mimi ninaamini kwa.miaka yetu ile hii ndio real mardid bora zaidi iliyowahi kutokea duniani..hebu wakuu leta maoni yenu hapa
3 Reactions
44 Replies
7K Views
Leo ntalala usingizi murua vijana wa London arsenal wamenipa raha ushindi wa 2-1 si haba na safari imeanza rasmi
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kocha wa Taifa Stars ametangaza kikosi chake kitakachoivaa Zimbabwe katika mechi ya kirafiki huku Simon Msuva akiwa mchezaji pekee kutoka Yanga. Mkwasa amewachota viungo wapya ambao wengi wao...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Mchezaji wa Yanga, Simon Msuva ametangazwa kuwa mchezaji bora kwa mwezi Oktoba akiifungia timu yake magoli manne na kutoa pasi 5 za mwisho na kuisaidia timu yake kukusanya jumla ya alama 14 katika...
1 Reactions
16 Replies
6K Views
Kitendo Cha Timu hizi Kuogopa mechi kati yao na Mabingwa Wa Afrika no kigezo tosha kua timu hizi hazipo kwenye Level za kimataifa ktk medani ya Soka! Wapo kitaifa zaidi na kulewa ushabiki Wa...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Aliyejiuzulu nafasi ya Ukocha wa timu ya taifa ya Tanzania(Taifa Stars) Charles Boniface Mkwassa ameteuliwa kuwa katibu mkuu Yanga Afrika. ======= Mkwasa aula Yanga, atoa neno Klabu ya Yanga...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Nimeamua kufungua page hii special kwa Mbwana sammata ambaye ni Mtanzania pekee na anaeipeperusha
1 Reactions
41 Replies
4K Views
Soka la Tanzania na Afrika kwa ujumla ni kituko linapokuja suala la umri. Wachezaji wengi wamekuwa wakiongopea sana kuhusu umri wao halisi. Wapo wachejazi wakubwa na wanaoheshimika ambao...
7 Reactions
42 Replies
5K Views
1: Paul Pogba – £290k a week 2: Wayne Rooney – £260k a week 3: Zlatan Ibrahimovic – £250k a week 4: Sergio Aguero – £240k a week 5: Yaya Toure – £220k a week 6: Eden Hazard – £200k a week 7: David...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwa wale wanaofatilia vizuri AFCON mechi ya leo ile ya awali kati ya Ghana na Kongo refaree B. Camille wa huu mchezo amewapa penati "NYEPESI" Ghana na kufanya washinde kwa mbeleko ya huyo refa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu wasalaam, Kwa heshima na taadhima naomba kuuliza kwa mwenye kufahamu hii kitu leo nilikuwepo uwanja wa taifa kushuhudia mechi ya Yanga na Mwadui nimeona ajabu timu kubwa kama Yanga...
1 Reactions
61 Replies
9K Views
Nionavyo tu! Kusimamisha Ligi( Kusimamisha baadhi ya michezo ya LigiKuu) hasa ya Simba SC na Yanga Sc ili kupisha ombi la Klabu ya Afrika Kusini (Ambao ni Mabingwa wa Afrika) si uungwana...
3 Reactions
35 Replies
3K Views
Wadau wa michezo habari zenu, Naomba mwenye kujua channel inayoonesha mashindano ya magari kwenye barabara za vumbi anijuze na mimi. Asanteni.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Baada ya Simba SC kugongwa jana na Azam FC (Lambalamba), leo hii machampioni wa kabumbu Tanzania watakuwa na kazi moja tu, kuwathibitishia Simba kuwa nafasi yao ni mkiani! Tuwe pamoja mwanzo...
4 Reactions
242 Replies
24K Views
hirizi kali ya Africa Magharibi.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Simba tualinza vzr lakn mwishoni mwa raundi ya kwanza tukaanza kuharibu. Ile kasi ya mwanzo sasa sioni tena. Kwenye kombe la mapinduzi tualianza vizuri lkn baadae tukaanza kuchechemea. Niseme...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Back
Top Bottom