Klab ya simba imepokea mzigo wa dola laki tatu kutoka etoil sportive du sahel rasmi sasa kazi kwao uwanja bunju za samata 20% znasubiriwa uwanja huwooo yanga mtabaki na bwawa lenu la samaki...
Timu ya Taifa ya Chad imejitoa kwenye mashindano yanayoendelea ya kufuzu michuano ya kombe la mataifa ya Afrika, 'Afcon 2017' wakitoa sababu ya ukata wa fedha kuelekea mechi yao ya pili dhidi ya...
Nimewamiss sana nyie jamaa mlikua mnanikosha sana, enzi zile
Hold it down
Look at me now
Party dont stop
Wakati wako
Fresh all day
If you believe me
Rudini tena basi, msiwape nafasi saut sol...
NAANDIKA KWA UCHUNGU KIDOGO
Ni kweli kwamba moja ya ahadi ya Mwenyekiti Aveva ilikua ni kuongeza wanachama hadi kufikia 50,000 na kwamba zoezi lilianza kwa kasi na kusimama kwa kasi kwa...
Vurugu Kubwa Mechi ya Kenya Vs Guinea Busau
Mabomu Yanarindima Mechi Ya Kufuzu Kati Ya Kenya na Guinea Bisau Baada ya Guine Kuoata Bao La Utata
Mpira Umesimama
Mechi kati ya Kenya na Guinea...
Wakuu nimemsikia Aden Rage akisema CAF watalipa gharama zote kwa TFF, najiuliza gharama hizi zitalipwa kwa pesa ipi? Hii ya fine ilopigwa Chad $20,000? Mbona Ni pesa ndogo? Au CAF huwa Ina mfuko...
Waliokata tiketi Tanzania na Chad kurudishiwa pesa
Afisa Habari wa TTF Baraka Kizuguto
TFF inawaomba washabiki wa mpira wa miguu waliokua wamekata tiketi za mchezo huo, kufika kesho Jumanne...
DHAIRA AFARIKI DUNIA, NI BAADA YA KUSUMBULIWA KWA KANSA YA UTUMBO
Kipa wa zamani wa Simba na Uganda ‘The Cranes’, Abel Dhaira amefariki dunia leo nchini Iceland alipokuwa akipatiwa matibabu...
Hili ni wazo langu kwa Taifa stars, mabingwa wote huwa mabingwa kwa kuwafunga mabingwa, msitegemee timu za ki-chadi chadi, sasa imejitoa na group limebaki na Nigeria na Egypt na Tz, point...
Watu wengi wanajaribu kujiuliza ni kwa nini Mou alifukuzwa kibaruani?
Makocha wakubwa na wachambuzi wakubwa wa soka wanatanabaisha kuwa Mou alikosa 'ufalme ndani ya dressing room'. Mnakumbuka...
Wakubwa wapenzi wa ndondi, jana matokeo yalikuaje uwanja wa Taifa, hasa gemu Kati ya Maugo Vs Dulla Mbabe. Nasibu Ramadhani Vs Francis Miyeyusho, Cosmas Cheka Vs Mudi Matumla.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) leo limetangaza viingilio vya mchezo wa kuwania kufuzu kwa Fainali za Mataifa Afrika (AFCON) kundi G siku ya Jumatatu kati ya Tanzania dhidi ya Chad...
Nje ya uwanja chanzo chetu cha kuaminika kimebaini kuwa viongozi wa timu ya Geita Gold Sports, walitoa kiasi cha shilingi milioni 6 za kitanzania kwa viongozi na benchi la ufundi la timu ya JKT...
wadau kati ya mitandao ya habari za michezo Tanzania wew upi unakuvutia sana?
www.salehejembe.blogspot.com
www.binzubery.com
www.shaffihdauda.com
www.soka360.co.tz
www.kandanda.co.tz
laKwa mimi...
Mwanamuziki mkongwe wa Congo DRC , Koffi Olomide akiri kutofahamu ma-star maarufu wa tasnia ya muziki iwe mwanamuziki au msanii wa kizazi kipya Mkenya.
Koffi alizidi kuongea kwa staha a.k.a ''...
Meneja wa Uwanja wa Sokoine wa jijini hapa, Modetus Mwaluka ameitaka Mbeya City itafute uwanja wake wa kufanyia mazoezi badala ya kuugeuza uwanja huo kuwa wa mazoezi.
Mwaluka alitoa agizo hilo...
Wakuu habari kama title inavojieleza kwa mtazamo wako nani ni best box to box midfielder of our time? Kwamimi nilikuwa napenda sana kuwaona pavel nedved roy keane zinedine zidane
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.