Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Uefa offices raided by police after Gianni Infantino named in Panama Papers FIFA president Gianni Infantino is dismayed at being dragged into another crisis... here's all you need to know about...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (TAKUKURU), imesema inazo taarifa zote juu ya tuhuma za rushwa ndani ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na tayari imeanza uchunguzi. Akizungumza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dk Sulaiman Al-Fahim Mfanyabiashara maarufu wa kiarabu Dk Sulaiman Al-Fahim ametangazwa kuwa mwenyekiti mtendaji wa klabu ya African Lyon ambayo itashiriki ligi kuu ya Tanzania Bara msimu ujao...
2 Reactions
29 Replies
8K Views
KLABU ya Simba imeitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kufanya uchunguzi sakata ka upangaji matokeo Ligi Daraja la Kwanza. Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), mwanzoni mwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba kujua hiyo mechi ya shirikisho inachezwa lini
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Usikumwemaaa wotee
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Timu zite tatu za Tanga zina hali mbaya sana kwenye Ligi huku zikichungulia kaburi la kushuka Daraja
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwenye idara zote Yanga ina wachezaji wa viwango vya juu kabisa wa hadhi ya kiafrika. Haina tofauti na timu zote kubwa za Afrika ya weusi unazozifahamu kwa sababu wa viwango vya juu ya hapo tayari...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Dar es Salaam. Kashfa ya kupanga matokeo na hatimaye kushushwa daraja kwa timu nne imechukua sura nyingine baada ya watendaji waandamizi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kudaiwa kuomba fedha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Safari za Cristiano Ronaldo kwenda Morocco zilimletea skendo kubwa kipindi kilichopita licha ya yeye mwenyewe kupotezea huo uvumi. Hivi sasa kuhusu Ronaldo imeripotiwa kwamba ameenda tena Morocco...
1 Reactions
43 Replies
10K Views
Uefa champions league now REAL MADRID NA WOLFSBERG
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Sina shaka kabisa viwango vibovu vya man chester city Chelsea fc man chester untd ndio tiketi ya arsenal kuchukua ubingwa wa EPL this season Sina shaka kabisa kama timu hizi zingekua katika ubora...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
SAHAU rekodi za nyuma za Yanga dhidi ya timu za Misri, hususan National Al Ahly. Hii ni soka, na lolote linaweza kutokea Jumamosi Aprili 9, 2016 wakati Yanga itakapoikaribisha Al Ahly kwenye...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Timu za Geita Gold, JKT Oljoro, Polisi Tabora na JKT Kanembwa zimeshushwa daraja baada ya kukutwa na hatia ya upangaji wa matokeo katika mechi zao za Ligi Daraja la Kwanza. HUKUMU YA SAKATA LA...
1 Reactions
45 Replies
6K Views
STRAIKA wa Yanga, Paul Nonga amekuwa akikumbana na ushindani mkubwa ndani ya kikosi hicho kutoka kwa mastraika wa kigeni, Amissi Tambwe na Donald Ngoma lakini uongozi wake wa zamani wa Mwadui FC...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kigoma airport to attain international status ippmedia.com/ippmedia/news/kigoma-airport-attain-international-status Minister for Works, Transportation and Communication, Prof Makame Mbarawa said...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Leo kuna michezo kadhaa imechezwa ya ligi kuu Tanzania bara.Kuna mapungufu niliyoyaona ambayo kwa sasa imekuwa kawaida sana katika soka letu hapa Tanzania.Mchezo uliochezwa pale mwanza kati ya...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari muda huyu wanajamvi, Naomba kujua ni nini mtazamo wako juu ya ligi za wenzetu maana umekuwa gumzo sana kwamba ligi nzuri na bora ni Fulani kisa wanafunga magoli mengine Au nyingine...
0 Reactions
28 Replies
7K Views
Habari ya muda huu ndugu . Naomba kupata mawasiliano ya mwalimu au mtaalamu wa TAE KWONDO Au anayejua tofauti ya juu michezo na karate au kun fu
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimezisoma millardayo.com, sikuzielewa ,naomba ufafanuzi maana sikuona mahali ambapo zime-cite katiba ya tff, Mara timu zmeshushwa daraja ,Mara watu wamefungiwa maisha,na ajabu kubwa ni kocha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom