MASHINDANO: Klabu Bingwa Afrika, Raundi ya 3, Mchezo wa Kwanza
TAREHE: 9 Aprili, Saa 10 Jioni
MAHALI: Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
Kikosi cha Ahly Kilichokuja Dar ni:
Makipa: Sherif Ekramy...
Huwa navutiwa na mambo furani kutizama soka la wanawake.
Baadhi ya mambo hayo ni;
4. Jinsi wavyopiga penalt bila ufundi ile ni potelea pote.
1. Wanavyokabana uwanjani.
2. Wanavyoshangilia.
3...
Jana nimebahatika kuuona mchezo wa Yanga na Waarabu kupitia luninga. Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu. Kwa kweli Yanga wanatakiwa wakaze buti vinginevyo wataambulia patupu. Jana wale Waarabu...
Wana bodi
Sasa hivi inaeleweka kuwa bingwa wa VPL ndiyo mwakilishi wa nchi kwenye club bingwa ya Afrika wakati bingwa wa kombe la FA ndiyo mwakailishi kwenye kombe la CAF.
Je ikitokea bingwa wa...
Joshua (kushoto) na Martin
Bondia wa Uingereza wa uzito wa juu Antony Joshua anatarajiwa kupambana na Bondia wa Marekani Charles Martin kugombea uzito wa juu wa IBF mjini London.
Pambano hilo la...
WAKATI Sports Club Villa ikibugia mabao 7-0 ugenini kwa FUS Rabat katika Kombe la Shirikisho, mabingwa wa klabu za Afrika TP Mazembe wamejikuta wakilala kwa mabao 2-0 mbele ya Wydad Casablanca ya...
NILIYOYAONA WHITE HART LANE
Tottenham 3-0 Manchester United
1. Timu inayotaka ubingwa ndiyo hucheza hivi, Spurs leo wameonyesha kwanini wanatajwa kwenye mbio za Ubingwa, kuanzia kwenye kukaba...
WAWAKILISHI wa Tanzania katika Kombe la Shirikisho, Azam FC, leo wamewatoa kimasomaso Watanzania baada ya kuichapa Esperance ya Tunisia mabao 2-1 kwenye uwanja wa Azam Complex jijini Dar es...
SERA ya Ujamaa na Kujitegemea iliyoasisiwa na hayati Mwalimu Julius Nyerere mwaka 1967 ililenga kuthamini utu, kuleta umoja na mshikamano Tanzania.
Leo hii ukizungumzia sera hii ya Ujamaa watu...
MABINGWA wa Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, leo wanajitupa uwanjani kumenyana na Esperance ya Tunisia katika mchezo wa kwanza wa raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho barani Afrika, ikiwa...
Najiuliza sana hili linalotokea ligi ya Tanzania kwamba ati timu inapewa wiki nzima kujiandaa kwa mechi
hivi ni kwa nini hasa
au miundo mbinu au uchawi au lishe duni?
Posted by: BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE Posted date: 4/09/2016 10:53:00 PM / comment : 0
SC Villa ya Uganda imefungwa mabao 7-0 na FUS Rabat ya Morocco katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora...
Simba ikiingia katika mashindano ya kimataifa kama club bingwa Africa timu lazima ipambane na moja ya club zifuatazo katika hatua za awali kabisa: Enyimba-Nigeria, Zamalek-Misri, El-Ahly-Misri...
MABINGWA wa soka Tanzania, Yanga, leo wamenusurika kufungwa nyumbani katika mchezo wa kwanza wa raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya National Al Ahly baada ya kutoka sare ya bao 1-1...
Nape Nnauye-Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo
Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo Mh. Nape Nnauye amesema ataipitia ripoti ya hukumu iliyotolewa kwa waliokutwa na hatia...
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imeandikia barua klabu ya Yanga kuiagiza iwe imekwishafanya uchaguzi wake hadi kufika Aprili 15, mwaka huu. Yanga imekwishapokea barua hiyo kutoka...
Mashabiki maarufu wa Al Ahly ya Misri, Ultras Ahlawy wako jijini Dar es Salaam na wamekuwa wakifanya vurugu ile mbaya katika eneo la katikati ya jiji la Dar es Salaam.
Mashabiki hao ambao wengi...
Tumeisha zowea kuona mbinu za watawala wa vilabu vya Simba na Yanga kwenye mechi za kimataifa za mashindano kupanga kuanza saa tisa mchana hapa nyumbani. Hii imeiambukiza timu ya Azam, kama ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.