Ligi kuu tanzania bara kati ya Yanga na ndanda FC.
58' Mins | Yanga 0 - 0 Ndanda FC
79' Mins | Yanga 1 - 0 Ndanda FC
Kelvin Yondani 60' Mins ( Yanga)
81' Mins | Yanga 1 - 0 Ndanda FC
Kelvin...
Hizi timu ziko kiu shabiki tu na si ki-maendeleo,tupate timu zenye muelekeo wa mfano mzuri ni Tp Mazembe au kwa hapa tz Azam,bila ya hivyo tutasubiri sana...wataishia kuuza na kumaliza viwango...
VUTA nikuvute ya muda mrefu kati ya mmiliki wa klabu ya TP Mazembe, Moise Katumbi na Mbwana Samatta imemalizika jana Ijumaa baada ya mmiliki huyo kukubali mshambuliaji wake kuondoka kwenda...
Habari zilizonifikia punde kutoka jikoni zinasema kwamba lile sakata la fundi Niyonzima limemalizika na rasmi amerudi kundini na leo atazungumza na wanachama wa Yanga na mashabiki kupitia vyombo...
IBRAHIM AJIB, WEWE NI NANI NA NI YUPI?
Hakuna siku ambayo dunia imewahi kushuhudia mvua ya maua waridi, lakini kwa sababu ni moja ya maua yanayohitajika sana namna pekee ya kuendeleza...
“NINAFIKIRI miaka 10 niliyoitumikia timu ya Taifa Stars inatosha kiukweli na huu ni muda wangu sahihi wa mimi kustaafu kuichezea timu hiyo.
“Acha niwaachie vijana wengine wanaochipukia waje...
Kama kawaida ya mambumbumbu
Coach katolewa kafara,Coach ametuaga huko Twitter.
=====================
Kwa masikitiko makubwa klabu ya Simba inawaarifu umma kupitia vyombo vya habari.uamuzi wake...
Tunashuhudia kiungo wa simba Justice Majabvi akigoma kuelekea Mwanza kwa ajili ya mchezo dhidi ya Toto Africa, sababu kubwa ni Majabvi kutotimiziwa haki zake kama mchezaji wa kulipwa hasa kupatiwa...
MCHEZAJI wa Simba, Joseph Kimwaga leo alikusudia kuvunja mkataba na klabu hiyo kwa kile alichodai kuwa hawezi kuvumilia tabia za ubaguzi zinazoendelea ndani ya timu hiyo lakini viongozi wake...
Karibuni wanamichezo tujuzane kinachojiri katika Kombe la Mapinduzi.
Michuano imeanza leo 3/1/2016 mpaka 13/1/2016.
Mechi zinaonyeshwa Live kupitia Azam Two na ZBC two...
Kwa kifupi ninaungana na Watanzania au Manaafrika Mashariki wengi wanaompongeza mcheza kandanda Mbwana Samatta kwa mafanikio aliyoyafikia na kumuombea apate zaidi ya hayo.
Langu kubwa ni hili...
Wapendwa wanajukwaa na watanzania kwa ujumla, ni dhahiri kwamba sote tunapenda kuona nchi yetu ikisonga mbele kitaifa na kimataifa katika michezo na sanaa mbalimbali. Tumeshuhudia baadhi ya vijana...
Ukistaajabu ya Samatta utayaona ya Mkwasa
Ni takribani wiki moja sasa tangu mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' na klabu ya TP Mazembe, Mbwana Samatta ashinde tuzo ya mchezaji...
Wakuu, tokea timu hii ilipoanzishwa nilikuwa na matarajio ya kututoa majonzi Watanzania kwamba tumepata mkombozi katika soka. Hatukukaa kimya kwani tumekuwa tukiwashauri wasikumbwe na ugonjwa wa...
Kwa wafuatiliaji wa mpira wa bongo, wanatambua kuwa Mtibwa Sugar ni moja kati ya timu imara na zenye uzoefu wa kutosha ktk ligi. Aidha imetwaa ubingwa mara kadhaa na kuibua wachezaji bora sana ktk...
No pressure on Kenya Sevens as they build towards the Olympics says coach Benjamin Ayimba
Nairobi — After silencing critics with a breathtaking performance in Cape Town 7s, Kenya Sevens head...
Mshirikishe mwenzako
Image copyrightGETTY
Image captionLiverpool walisawazisha dakika ya 90
Majogoo wa Anfield Liverpool wakiwa katika dimba lao walifunga bao la dakika za mwisho na kulazimisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.