Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Jedwali la msimamo wa ligi ya EPL kufikia 14 Januari, 2016. Nambari Klabu Mechi Mabao Alama 1 Arsenal 21 16 43 2 Leicester 21 13 43 3 Man City 21 18 40 4 Tottenham 21 17 36 5 West Ham 21 9 35 6...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Saa moja iliyopita Mshirikishe mwenzako Image copyrightGetty Image captionElneny anaweza kuchezea Arsenal dhidi ya Stoke Jumapili Meneja wa Arsenal Arsene Wenger amethibitisha kwamba klabu hiyo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Aliyofanya huyu jamaa uenda ikachukua vizazi kadhaa kuyafikia. Ni muhimu kuweka na alama ya kudumu kama kumbukmbu yake. Siku za nyuma wanamichezo waliopata mafanikio makubwa waliwekwa kwenye...
0 Reactions
1 Replies
777 Views
Uingereza yapendekeza kufutwa rekodi za riadha Shirikisho la riadha la Uingereza limependekeza kuwa rekodi zote zilizowekwa katika mchezo huo zibadilishwe upya ili kusaidia mwanzo mpya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mshirikishe mwenzako Image copyrightPA Image captionVan Gaal hakufurahishwa na uamuzi wa refa kuwapa Newcastle penalti Meneja wa Manchester United Louis van Gaal amesema klabu yake ilikuwa na...
0 Reactions
0 Replies
990 Views
Wakuu wote na wapenda soka kwa ujumla kwa mara nyengine tena leo tutashuhudia ni nani ataestahiki kuchukua tuzo ya mchezaji bora wa dunia tuzo ambayo inajulikana kwa jina la ballon d'or tuzo hii...
0 Reactions
117 Replies
21K Views
Meneja wa Liverpool, Jurgen Klopp, amemuonya Pep Guardiola kuwa changamoto kuu atakayokumbana nayo katika ligi kuu ya Uingereza, ni wingi wa mechi wanazocheza. Guardiola, 44, ambaye anaihama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mshirikishe mwenzako Image copyrightPA Image captionGeorginio Wijnaldum alifungia Newcastle bao la kwanza Newcastle United wakicheza katika dimba lao la St James Park wamekwenda sare ya kufunga...
0 Reactions
0 Replies
802 Views
13 Januari 2016 Mshirikishe mwenzako Image copyrightGetty Image captionPierre-Emerick Aubemeyang Kilabu ya Ujerumani Borussia Dortmund imemaliza uvumi kwamba mshambuliaji wa Gabon Pierre-Emerick...
0 Reactions
0 Replies
706 Views
Beka Ibrozama (Official Video) - Hello (Adele Cover) download mp4 720p *** download mp4 360p *** download 3gp 240p
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Dogo Samatta, nenda tu France baba, mwaka mmoja ukigonga fresh unaibukia emirates kwa Wenger, Belgium unaenda kupoteza muda kama Mbokani, si alikuwa juu zaidi yako? ======================...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
By Philipp Lahm Jan 12, 2016 In his latest exclusive column for Goal, the Bayern Munich defender says Lionel Messi deserved to win his fifth title but suggests a format change for the future...
0 Reactions
1 Replies
849 Views
Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) iliyokutana Disemba 15 mwaka jana, imeiagiza klabu ya Etoile du Sahel ya Tunisia kuilipa Simba SC ya Tanzania pesa za uhamisho wa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
REKODI YA DYLAN KERR SIMBA SC; Jumla ya Mechi; 30 Mechi alizoshinda; 19 Mechi alizofungwa; 5 Mechi alizotoa sare; 6 MATOKEO YA MECHI ZA SIMBA SC CHINI KERR; Simba SC 2-1 Zanzibar Kombaini...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Kumekuwa na kawaida ya watu kualikwa ikulu hasa wanapo kuwa wamepewa tuzo au wamepata ushindi fulani.. Ni jambo zuri na linatia moyo,Wote tunajua Samatta kapata tuzo ya uchezaji bora Afrika kwa...
2 Reactions
20 Replies
5K Views
Mbwana Samatta alivyopokelewa leo jijini Dar Mwanasoka Bora wa Afrika, Mtanzania, Mbwana Samatta akikatisha katika jiji la Dar leo kuanzia Hoteli ya Hyatt Regency Kempinsk mpaka Escape One...
2 Reactions
3 Replies
6K Views
Droo ya raundi ya nne ya michuano ya kombe la Fa imetoka huku timu za ligi kuu ya England zikipangwa na zile za daraja la chini. Arsenal, ambao ni mabingwa watetezi wao wamepangwa kukipiga na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mkufunzi wa kilabu ya Manchester United Louis Van Gaal amesema kuwa amechoshwa na baadhi ya mechi za timu yake msimu huu. ''Kuna mechi ambazo hata mie nimezifurahia'',alisema raia huyo wa...
0 Reactions
2 Replies
918 Views
Sijui kwa sababu walitutawala au ni lipi? Yaani tunamdomo kama waingeleza Mchezaji wa kingeleza akifanya kitu kidogo promo anayopewa utadhani hakuna zaidi yake! Angalia bei zao zilivyo! Kufuru...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Alain Mulumba & Totoo Ze Bingwa - My Life Director /Producer : Bonavida Brothers / Joe Studio Source: Totoo Ze Bingwa Youtube Location: Dar-es-Salaam , Tanzania
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom